snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,322
umeona nilivomaliza comment yanguHujui alifanya nini huyo Winnie? Well, alikuwa anatombwa ingali bado ni mke wa mtu. Tena basi alikuwa anatombwa na kijana nusu ya umri wake aitwaye Dali Mpofu. Huyu bwana Mpofu alikuwa ni mmoja wa mawakili wake kwenye ile kesi ya mauaji ya yule dogo Stompie Moeketsi.
Hebu deku vipande vya barua vilivyochapishwa na gazeti na Independent la Uingereza aliyoiandika Winnie kwenda kwa huyo Bw. Mpofu.
Habari inaanza hivi.....
Halafu The Boss eti anasema kuwa Madiba alimsamehe Winnie wakati John Carlin kwenye kitabu chake cha "Knowing Mandela" anadai kuwa Madiba hakumsamehe kabisa Winnie!
Nelson Mandela passed away Thursday night. John Carlin in his new book Knowing Mandela, reveals why he never forgave the former wife who has visited his bedside.
mandela alibaki kuwa mwanadamu,siyo malaika!
hiv kweli kuna mtu aliwahi kufikiri Winnie alipaswa kubaki mjane -hai?
hebu tuache kumwangalia kwa macho ya uwinnie madikezela mandela!
halafu tukitaka kumjadili winnie hebu turudi nyuma kidogo kwa evelyne!
ndo mana niliishia kusema Tata anabaki kuwa mwanadamu!
hakika namwelewa na nimemsamehe!