Kusamahe: Kuna mengine huwa hayasameheki?

Kusamahe: Kuna mengine huwa hayasameheki?

Ni kwanini kila mtu anasema Kutosamehe ni kujiona kuwa bora? Hamuoni aliyekosea alijiona kuwa bora, na mwenye haki ya kuumiza mwenzie?

Mwizi hujiona ana haki ya kutofanya kazi.
Muongo hujiona ana haki ya kupata chochote atakacho.
Muuaji hujiona dunia ilitengenezwa kwa ajili yake.
Mpenzi asiye mwaminifu hujiona kama The Boss kuwa penzi alilokuwa anapewa lilikuwa sadaka/la bure.

Ukweli ni kuwa deep inside kila mtu hujiona ni bora. ndio ubinadamu huo.

chochote kitakachotokea kila mtu ana uwezo na uhuru wa kuamua atakacho, ikitegemea na experiences zake, hisi zake na morals zake wakati huo.

by the way kila mtu ana maana yake ya kusamehe. wengine kesho akikuongelesha ukajibu anajua umemsamehe. wengine hadi useme umewasamehe. wengine hadi umchekee. wengine hadi ukubali zawadi yao. etc

unfortunately kwangu nimekusamehe kama nikikumbuka ulichofanya moyo hauwi mzito. ni automatic. sikusamehi kwasababu umeomba msamaha, kuna watu misamaha iko midomoni tayari kutoka.

nafikiri mi ndo wale wanaoitwa wenye gubu.


mnhhh why i got this feeling tunafahamiana hivi?
una id ingine?....some truth na ulichoandika

kuumiza watu sababu tunajiona 'entitled' na ku demand kusamehewa pia sababu hizo hizo
so pengine tatizo letu kuu...ni 'kiburi' arrogance..na kujiona we 'deserve' kila tunachokipata..
some truth......
 
Hongera sana kaka yangu, kama unakumbuka ndicho nilichokuwa nakushauri. Now that the bitterness is over you can move on.

Hongera tena.


Mimi nshakusamehe kabla hujanikosea
 
Nakupenda tena na tena, in case jana nilisahau kukuambia nakupenda basi na kupenda kwa week yote ianzayo kesho na zingine zote zijazo.

KIKUNGU jifunze haya...yatakusaidia..

ukisamehe haina maana umekubali kilichotokea kuwa na sahihi
kusamehe sometimes ni ku let go.....
kusamehe pia ni kujisamehe wewe mwenyewe

sababu mahusiano yaki collapse haliwezi kuwa kosa la mtu mmoja 100 percent

mahusiano ya wawili yaki collapse basi wote kwa namna moja au nyingine mmechangia kufika hapo

hata kile kitendo cha wewe kuingia tu kwenye mahusiano na mtu huyo ni 'kosa' lako pia..
ambalo unapaswa kujisamehe na kumsamehe ,mwenzio...

halafu love inapaswa kuwa free...usiwe unatazama uliyomfanyia kama vile alipaswa kukushukuru au kuyathamini,,
yote uliyomfanyia uliyafanya kwa sababu ya love in your heart.....na sio necessary ya love uliyopewa...

to love is to give.....so ulimpenda na uliyafanya yote........hupaswi kugeuza deni au kudai 'kushukuriwa'
 
Last edited by a moderator:
Nakupenda tena na tena, in case jana nilisahau kukuambia nakupenda basi na kupenda kwa week yote ianzayo kesho na zingine zote zijazo.

You are welcome babe...anytime...
 
some things/people cant be forgiven, even our good Lord knows this.
 
Hongera sana kaka yangu, kama unakumbuka ndicho nilichokuwa nakushauri. Now that the bitterness is over you can move on.

Hongera tena.

Mwavyezya ilumbuye,Kaunga
 
Nakupenda tena na tena, in case jana nilisahau kukuambia nakupenda basi na kupenda kwa week yote ianzayo kesho na zingine zote zijazo.

Nyie wanyamwezi wawili nyie,The Boss & Kaunga
 
Tusameheane tu jamani ila kuna makosa ambayo unasamehe ila kurudi nyuma inakuwa ngumu, embu cheki hii stori then uniambie tunafanya kitu gani hapa.
Nina rafiki angu (wa kike) just a friend nilifahamiana nae mda kidogo lakini hakuawi kuniambia kama yuko kene relationship na kijana mmoja, baada ya miaka kwenda ikabidi aniambie ukweli kuwa alikuwa kene mahusiano but aliquit mahusiano kwa mkasa ufuatao na hatoweza kurudi kwake:
Jamaa alikuwa na geto maeneo fulani hapa mjini, bint anapafahamu na alishaendaga mara kadhaa cos ndo mahali pekee walipokuwa wanamaliza mambo yao, ikatokea sikuku moja jamaa kamwalika bint cafe moja iliyopo karibu na geto na appoitment ilikuwa wakute saa kumi, bint aliwahi pale cafe saa kumi ilimkuta hapo hapo but alimsubiri mshikaji zaidi ya saa moja hakutokea mpaka akaamua kumfata kule geto kwake Loooh!! alichokikuta hakuamini macho yake cos alimkuta mshikaji yuko na msichana mwingine wanafanya yao, hakuuliza na hakugombana na mtu akajiondokea na mshikaji anakili usaliti huo, je mtu kama huyu tunamsamehe vip???
 
Pole the Boss. Na Nakupongeza kwa kupata moyo wa kusamehe. MImi kusamehe nimeweka ni jambo la kawaida katika maisha yangu lakini mtu niliyemsamehe huwa simuamini tena yeye ndio huwa namwamchia jukumu la kufanya mimi nimwamini.kama hawezi fanya bidii ya yeye kuaminika mimi hukaa mbali nae kabisa maana atakua amechukulia msamaha wangu for granted.
 
if you do me i do you......sisamei kirahisi if your seller i will be buyer and if you buyer i will be a seller....ukinitenda na kubembeleza ukinirudia tu nakutenda twice.nyambafu moyo wangu sio uwanja wa mafunzo au majaribio
 
Kusamehe tunasamehe ila shetani sometimes analetaga kausha upuuzi ka kukukumbusha maumivu yaliyopita ki ukweli yanaumaga kwa ambaye hajawahi fikwa hii topic hawezi ielewa lakini ambao walishawahi umizwa tukisoma uzi huu tunafika mbali ila tunamshukuru Mola tulishasamehe. tujifunze kutokumbuka. Tukikumbuka yaani inauma sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom