Om is om
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 260
- 71
You are right The Boss,nilishindwa kusamehe for the last four years lakini leo nafikiri mungu alimtumia mtumishi wake kunifikishia message kwani padre from nowhere alikuja simama nilipokuwa nimekaa na aliniuliza swali kama nimeshawahi kusamehe ili hali ndio siku ya kwanza kwenda kwenye hili kanisa ughaibuni.You needs a big heart to forgive,yes
mmmh gud for yu..naomba uniweke kwny maomb na mm niwe na uo moyo jmn...
khaa yn mm mtu akiniudh mpk kuja kumsamehe aisee eee .r