Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,738
- 10,819
Wadau wa usafirishaji, nina rafiki yangu anataka kusafirisha gari dogo toka Dar kupeleka Arusha kwa magari ya mizigo. Naombeni mwongozo, ni wapi usafiri huo kwa Dar unapatikana? Ni salama kwa gari dogo? litafika limebonyezwa na mizigo mingine? gharama inaweza fika kiasi gani?
NB:Lina hitilafu ya engine.
Natanguliza shukrani
NB:Lina hitilafu ya engine.
Natanguliza shukrani