Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Kiuhalisia imeshindwa kazi halisi ya yanayopaswa kufanywa na kurugenzi hiyo na kubaki kama idara ya itikadi na uenezi ya chama.
Tukio lililo ikumba nchi kwa siku tatu na kuleta tahayari na utengano lingeweza kuzuiwa kiweledi kama kurugenzi hiyo ingeamua kuilinda Ikulu na mambo ya aina hiyo, badala yake Mkurugenzi Gerson Msigwa anajiingiza naye kwenye mambo ya kivijembe vijembe kama watu wa mtaani.
Badala ya kuwa kitengo cha sifa na mapambio wanaweza kuingia deep zaidi kuisemea Ikulu na Urais kama taasisi kamili na yenye watu wengi muhimu na majukumu tofauti tofauti.
Hawabuni hata vipindi kufundisha vijana nini hasa mpangilio wa kazi ndani ya maeneo ya Ikulu na ofisi zake kiasi cha kuwavutia vijana kuja kufanya kazi Ikulu tofauti na sasa wanajua kuna Rais na kazi ni kuteua na kutumbua tuu.
Wakati huu ni muhimu kufanya mabadiliko kwani Msigwa inaonyesha sio size yake tena
Tukio lililo ikumba nchi kwa siku tatu na kuleta tahayari na utengano lingeweza kuzuiwa kiweledi kama kurugenzi hiyo ingeamua kuilinda Ikulu na mambo ya aina hiyo, badala yake Mkurugenzi Gerson Msigwa anajiingiza naye kwenye mambo ya kivijembe vijembe kama watu wa mtaani.
Badala ya kuwa kitengo cha sifa na mapambio wanaweza kuingia deep zaidi kuisemea Ikulu na Urais kama taasisi kamili na yenye watu wengi muhimu na majukumu tofauti tofauti.
Hawabuni hata vipindi kufundisha vijana nini hasa mpangilio wa kazi ndani ya maeneo ya Ikulu na ofisi zake kiasi cha kuwavutia vijana kuja kufanya kazi Ikulu tofauti na sasa wanajua kuna Rais na kazi ni kuteua na kutumbua tuu.
Wakati huu ni muhimu kufanya mabadiliko kwani Msigwa inaonyesha sio size yake tena