Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Si kwamba wako kwenye mgomo? ... Na adhabu yao?? Na wao wafikishwe kwenye ule msitu kuleee ... for teeth and nail extraction to put thing on straight line ... don't you think so??
Kwa niaba ya Chama changu makini CCM naomba kuwataka radhi Wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano mliokesha usku kucha kusubiri hotuba ya Mpendwa Rais wetu Mh Jakaya bila mafanikio hivyo naomba mtusamehe kwa uzembe uliofanywa na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kwa kutokutoa Tangazo la Mh Kuhairisha kuhutubia Taifa siku ya tararehe 30/06/2012.
Kwa sisi wananchi na wapenzi makini wa Chama cha mapinduzi tunaona kuna uzembe wa hali ya juu uliofanywa na wasaidizi wa Rais na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kutokana na sakata hili ambalo hadi kufikia sasa bado wahajatoa kauli kwa vyombo vya habari ya kuhairishwa kwa hotuba ya Rais.
Kutokana na Rais kushindwa kuhutubia Taifa hapo jana baada ya Taarifa kuwa zimetolewa na Vyombo vya habari Wananchi wapo katika taharuki kubwa kwani hawajui kitu kinachoendelea na kitu kilichompata Rais Wetu hadi kufikia kushindwa kuhutubia Taifa.
Kwasasa Tunaitaka Kurugenzi ya Mawasilino Ikulu kuwajibika kwa kuupotosha Umma juu ya jambo hili nyeti kwa Taifa na aidha tunawataka kutoa tamko kwa vyombo vya habari na kuwaomba radhi wananchi wote waliokesha ucku kucha kusubiri hotuba ya Mpendwa wao Rais na kupelekea wengine kushindwa kwenda kwenye Ibada siku leo.
Ipo haja Kurugenzi kufanya.
Jana tumelala Saa 6 usiku tukingoja hotuba ya Mr. President.
kwanini ameshindwa kuhutubia?
ni aibu sanaNi aibu kwa jk kuahidi vitu ambavyo hawezi kuvifanya jana nimesubiri sana kumsikia dhaifu wangu ataongea nini!
Kweli sikuelewa kwa nini! Lakini kwa mara ya kwanza kwa kadri ninavyokumbuka, nilikaa muda mrefu sana nikisubiri Hotuba ya Raisi. Hata ilipofika saa 5.30 usiku nilishauriwa niende kulala lakini bado niliamini pengine ni vyombo vya habari vimechelewa kurusha na ni lazima vingerusha tu. Sijui nilitegemea nini kwenye hotuba ile. Nilipatwa mvuto na hamu ya ajabu, nikasubiri bila kujali usingizi ili mradi nimsikilize Raisi wangu. Lakini Raisi wangu- oh kumbe ni Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeninyima uhondo nilioutegemea! Basi na wajitokeze waseme SAMAHANI- ni neno moja tu na roho yangu itasafishika.
Kwa niaba ya Chama changu makini CCM naomba kuwataka radhi Wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano mliokesha usku kucha kusubiri hotuba ya Mpendwa Rais wetu Mh Jakaya bila mafanikio hivyo naomba mtusamehe kwa uzembe uliofanywa na kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kwa kutokutoa Tangazo la Mh Kuhairisha kuhutubia Taifa siku ya tararehe 30/06/2012.
Kwa sisi wananchi na wapenzi makini wa Chama cha mapinduzi tunaona kuna uzembe wa hali ya juu uliofanywa na wasaidizi wa Rais na kurugenzi ya m
https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login
Ukiona hivyo hawana hata mpango. Wagonjwa mahospitalini waache wafe. Suala la Dr. Ulimboka mbona washasema liwalo na liwe. Wameiachia fate iongoze nchi. Wakati wa uchaguzi ndo huwa wanaona umuhimu wetukwanini ameshindwa kuhutubia?
kwanini ameshindwa kuhutubia?