Kurudi kwa Lowassa?

Kurudi kwa Lowassa?

Kweli pesa ni kila kitu.Leo Lowasa anafikiriwa!! Yaani hii nchi yenye watu zaidi ya milioni 45 woooooote hakuna mwenye uwezo wa kufikiriwa kupata hiyo nafasi?

Signature yangu hapo chini inazidi kunipa sababu ya kuendelea kuitumia.
 
Nawapongeza wanajf waliofunguka juu ya raisi ajaye, mh. Lowassa, inaonyesha watu wanaenda wakikomb kisiasa na kuacha ushabiki wa vyama. Vyama viwe huko majimboni kwenu kwa wabunge na madiwani.
 
Hata mm naiona dalili ya CCM kufanya janja ya kupiga kelele ili baraza la mawaziri livunjwe kisha waweke watu wao wanaodhani ni karata nzuri kwa uchaguzi mkuu ujao. Tusubiri tuone.
 
Godfrey Zambi anajaribu kuwasihi mawaziri hao wajiuzuru ili kujenga heshima ya CCM.
 
JK akikubali Lowassa kuwa PM tena atajionesha kwamba yuko weak kuliko vipimo vyote vya weakness vinavyoweza kupima.

Lowassa anaweza kuwa rais anayefuata. Umpende, usimpende, anaongelewa kama a serious contender. Lakini hana nafasi ya kuwa PM tena katika kipindi hiki. Kitakuwa ni kichekesho kikubwa.

Hata yeye mwenyewe, aliyejitoa u PM kwa sababu ya kuondoa mzozo akikubali kuwa PM tena ataonekana si tu hana msimamo, bali pia mroho wa madaraka asiye mahesabu ya kujua kwamba wa Tanzania wanamuheshimu sana rais na makosa yote ya uongozi anayabeba PM.

Lowassa ana chances za kuwa rais, kwa nini aharibu chances hizo kwa kurudi kuwa PM? Kazi yenye majukumu yenye majungu na mikingamo ya aina yote?

Kwa kutumia hesabu hizo hizo za kutoka kwenye limelight ili kujiepusha na habari za mikingamo na majungu ndiyo maana hata mtu kama Hilary Clinton, ambaye anaonekana anautaka urais wa Marekani na ana nafasi kubwa kuuwania, akaamua kukaa pembeni, hizi rabsha rabhsa mara Benghazigate mara nini sijui akaona zinampunguzia umaarufu.

Lowassa would do well to stay a backbencher for now if he is to look consistent, dignified and free of a wanton greed for power.

But then again that is just my logical analysis.

Who said Tanzanian politics is logical and subject to analysis?

Na Pinda kuondolewa pale ni kazi. Tanzania PM mzembe anaweza kupeta kwa sababu rahisi kama "tuna mawaziri wakuu wastaafu wengi - Msuya,Salim, Warioba, Malecela and even Lowassa fiscally is supported as a retired PM- tukiongeza itakuwa mzigo mkubwa kwa serikali".

Especially because the Kikwete administration has only about two years to go anyway.

And Kikwete's philosophy is "yatapita na upepo haya tu".

kaka leo umetiririka vizuri kweli.chukua "LIKE"
 
Lowassa kweli ni mchapa kazi lkn mshikaji ni fisadi mkubwa mno. Alikuwa akisepesha mil. 152 Tshs kila siku!!!!. Huyu anafaa kweli kuwa Waziri mkuu? Bora hata Magufuli akamate kiti hicho.
 
Kinachoendelea bungeni ni maigizo tu ya
CCM kwa krosi za kupasiwa wapinzani kwani ni
planned strategy ya kuingiza watu fulani
kwenye baraza la mawaziri akiwemo Migiro.
Kikwete hakwenda Marekani kwa dharura na
pia tujiulize kwa nini kila sekeseke za bungeni
zikitokea Kikwete anakuwa nje? Is it a merely
coincidence??! Watanzania tuamke na kukataa
upumbavu wa kisanii na kizandiki!
 
. Sidhani kama kuna mwanasiasa mwingine yeyote ambaye anaweza kupata kuungwa mkono na wabunge wa CCM kama Lowassa. Kurudi kwake itakuwa ni kupata second chance na kujipanga vilivyo kwa ajili ya 2015. Kama siyo Lowassa ni mbunge gani mwingine wa CCM kutoka majimbo ya kuchaguliwa anayeweza kupata support na heshima ya kuwa Waziri Mkuu? Haitakuwa mara ya kwanza kwa Waziri Mkuu kurudia kiti chake mara ya pili.
Yetu macho.

Kumbe na wewe MM ni team EL
 
Tatizo wewe unafanya siasa zako kwenye keyboard wakati watu wanaangalia reality

Nguvu ya Lowasa sio siri tena, kila mtu anajua hilo.

Lakini sisi sio kama nyie viroba mnaotangaza wagombea urais kabla hata ya uchaguzi.

CCM ina watu wengi sana wanaofaa kuwa marais ndio maana tukaitwa chama dume

Stop these sweeping statements.Unaongea kama illiterate asiyekua na exposure.Utakua lini?
 
JK akikubali Lowassa kuwa PM tena atajionesha kwamba yuko weak kuliko vipimo vyote vya weakness vinavyoweza kupima.

Lowassa anaweza kuwa rais anayefuata. Umpende, usimpende, anaongelewa kama a serious contender. Lakini hana nafasi ya kuwa PM tena katika kipindi hiki. Kitakuwa ni kichekesho kikubwa.

Hata yeye mwenyewe, aliyejitoa u PM kwa sababu ya kuondoa mzozo akikubali kuwa PM tena ataonekana si tu hana msimamo, bali pia mroho wa madaraka asiye mahesabu ya kujua kwamba wa Tanzania wanamuheshimu sana rais na makosa yote ya uongozi anayabeba PM.

Lowassa ana chances za kuwa rais, kwa nini aharibu chances hizo kwa kurudi kuwa PM? Kazi yenye majukumu yenye majungu na mikingamo ya aina yote?

Kwa kutumia hesabu hizo hizo za kutoka kwenye limelight ili kujiepusha na habari za mikingamo na majungu ndiyo maana hata mtu kama Hilary Clinton, ambaye anaonekana anautaka urais wa Marekani na ana nafasi kubwa kuuwania, akaamua kukaa pembeni, hizi rabsha rabhsa mara Benghazigate mara nini sijui akaona zinampunguzia umaarufu.

Lowassa would do well to stay a backbencher for now if he is to look consistent, dignified and free of a wanton greed for power.

But then again that is just my logical analysis.

Who said Tanzanian politics is logical and subject to analysis?

Na Pinda kuondolewa pale ni kazi. Tanzania PM mzembe anaweza kupeta kwa sababu rahisi kama "tuna mawaziri wakuu wastaafu wengi - Msuya,Salim, Warioba, Malecela and even Lowassa fiscally is supported as a retired PM- tukiongeza itakuwa mzigo mkubwa kwa serikali".

Especially because the Kikwete administration has only about two years to go anyway.

And Kikwete's philosophy is "yatapita na upepo haya tu".

I concur with you.

Atakua mwanasiasa wa ovyo zaidi kukubali kurudi

Hata hivyo alivyo mroho anaweza akashindwa ku-reason.
 
dalili zote zinaoonesha kuwa kilio cha wabunge kutaka pinda ajiuzulu na hivyo baraza la mawaziri livunjike lina dalili moja kubwa; lowassa's comeback. Sidhani kama kuna mwanasiasa mwingine yeyote ambaye anaweza kupata kuungwa mkono na wabunge wa ccm kama lowassa. Kurudi kwake itakuwa ni kupata second chance na kujipanga vilivyo kwa ajili ya 2015. Kama siyo lowassa ni mbunge gani mwingine wa ccm kutoka majimbo ya kuchaguliwa anayeweza kupata support na heshima ya kuwa waziri mkuu? Haitakuwa mara ya kwanza kwa waziri mkuu kurudia kiti chake mara ya pili.

Yetu macho.

kweli kabisa.
 
Jamani watanzania mi sielewi kabisa wasomi tunashindwa kutambua tatizo na kutafta mbinu za kutusaidia wenyewe tunakalia kuwalalamikia watu..wale sio malaika ni watu tu kama cc.. Hvo yatubidi badala ya kuwaponda tunawapa njia mbadala ya kufanya... Tuwe mature basi ebo!
 
Tatizo wewe unafanya siasa zako kwenye keyboard wakati watu wanaangalia reality

Nguvu ya Lowasa sio siri tena, kila mtu anajua hilo.

Lakini sisi sio kama nyie viroba mnaotangaza wagombea urais kabla hata ya uchaguzi.

CCM ina watu wengi sana wanaofaa kuwa marais ndio maana tukaitwa chama dume

Na CCM ndo walikutuma uchangishe rambirambi halafu ukazimalize bar?
 
Sidhani kama Lowassa ana nafasi ya kurudi tena.

Hasa ukizingatia anapanga karata zake kwa ajili ya 2015.

Ila naona kama nafasi kubwa anayo Sitta au Magufuli
 
Back
Top Bottom