jk akikubali lowassa kuwa pm tena atajionesha kwamba yuko weak kuliko vipimo vyote vya weakness vinavyoweza kupima.
Lowassa anaweza kuwa rais anayefuata. Umpende, usimpende, anaongelewa kama a serious contender. Lakini hana nafasi ya kuwa pm tena katika kipindi hiki. Kitakuwa ni kichekesho kikubwa.
Hata yeye mwenyewe, aliyejitoa u pm kwa sababu ya kuondoa mzozo akikubali kuwa pm tena ataonekana si tu hana msimamo, bali pia mroho wa madaraka asiye mahesabu ya kujua kwamba wa tanzania wanamuheshimu sana rais na makosa yote ya uongozi anayabeba pm.
Lowassa ana chances za kuwa rais, kwa nini aharibu chances hizo kwa kurudi kuwa pm? Kazi yenye majukumu yenye majungu na mikingamo ya aina yote?
Kwa kutumia hesabu hizo hizo za kutoka kwenye limelight ili kujiepusha na habari za mikingamo na majungu ndiyo maana hata mtu kama hilary clinton, ambaye anaonekana anautaka urais wa marekani na ana nafasi kubwa kuuwania, akaamua kukaa pembeni, hizi rabsha rabhsa mara benghazigate mara nini sijui akaona zinampunguzia umaarufu.
Lowassa would do well to stay a backbencher for now if he is to look consistent, dignified and free of a wanton greed for power.
But then again that is just my logical analysis.
Who said tanzanian politics is logical and subject to analysis?
Na pinda kuondolewa pale ni kazi. Tanzania pm mzembe anaweza kupeta kwa sababu rahisi kama "tuna mawaziri wakuu wastaafu wengi, tukiongeza itakuwa mzigo mkubwa kwa serikali".
Especially because the kikwete administration has only about two years to go anyway.
And kikwete's philosophy is "yatapita na upepo haya tu".