Chikwakara
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 100
- 20
Tofauti ipo katika kiwango chao cha unafiki, huyu bwana ni mnafiki zaidi ya shibuda.
Haka kajamaa zamani nilikuwa nakapenda kumbe masikini ufaham wangu ulikuwa mdogo sana wakati huo. keshapoteza hata sifa ya kuwa mbunge kwa sbb ya uroho wake wa madaraka na undumilakuwili na kujifanya yuko juu zaidi ya chama. Urais sahau kaka yangu Zitto aliyekudangaya kamwambie sisi vijana wenzio hatukuamini tena na kwa sasa huna mvuto kama alivyo mnyika,lissu na Mchungaji Msigwa. Eti rais? Wa aina ya Zitto? Kwa kura ya nani? kashauriane na Shibuda