Katika imani yako umekuwa spoiled,
unaamini kwa dhati kwamba,
maoni kinyume na imani yako,
ni batili na ni dalili ya upendeleo.
katika kura hii una nafasi ya,
kutumia nafasi yako kama member,
kumchagua umpendaye,
au kuto piga kura kwa kula jiwe,
una haki ya kutoa maoni yako binafsi,
huna haki ya kuingilia haki za watu wengine,
maelezo yako ni maoni yako binafsi,
yatoe lakini usiyafanye msahafu kwa wengine,
Padri, sheikh, mufti, askofu,kuhani,mzee wa busara?
uchaguzi ni wa mtu binafsi,
Hapa JF wote ruksa kujiunga,
nasikia tu kwamba,
80% ya population,
ya watu wa dini na imani moja kuu,
ni zaidi ya nusu ya Watanzania wote,
pia kundi hili la waumini,
ni watu wa kheri amani na unyenyekevu.
Naamini pia kwamba kundi hili la waumini,
ni 75% ya wanachama wa JF,
Sasa ikitokea kundi hili kumpenda zaidi Dr Slaa,
kwa sababu ya uwingi wao na tafakari yao,
wewe ni nani hata upinge na kubeza chaguo lao?
pia kuwa na mawazo ya kudhani ni upendeleo?
Waswahili husema Wengi wape.
subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.