Hivi nyie waklisto mboa wabaguzi? hivi sisi tunapowapigia kula waklisto hadi wanakwenda bungeni tumekuwa mabwege? kwanini hamuelimiki? mbona sisi Dr Slaaha tunampenda sana hatumbagui? kawakosea nini huyu Zitto asiyekauka midomoni mwenu? lakini kwakuwa wakristo wameanza kutubagua waislamu na sisi waislamu wote tunampenda ZUBERI ZITTO KABWE ndo swala zima tena niko tayari kuingia msikiti hadi msikiti kuwaambia waislamu wenzangu kuwa tusimchague slaa kwani ni mdini tutapata shida na dalili mmeshazianzisha yani mkianza hivyo mnavyotaka mbona 2015 kazi ipo, mana CCM mwaka 2015 lazima asimame mkristo mana katoka muislamu sasa kwanini na nyinyi msimsimamishe muislmu ambapo alitoka mklisto? kama mnapigania haki kwa maslahi ya waklisto mtachemka hakuna muislamu aliyezubaa kwa tgaarifa yenu