Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Haka kajamaa zamani nilikuwa nakapenda kumbe masikini ufaham wangu ulikuwa mdogo sana wakati huo. keshapoteza hata sifa ya kuwa mbunge kwa sbb ya uroho wake wa madaraka na undumilakuwili na kujifanya yuko juu zaidi ya chama. Urais sahau kaka yangu Zitto aliyekudangaya kamwambie sisi vijana wenzio hatukuamini tena na kwa sasa huna mvuto kama alivyo mnyika,lissu na Mchungaji Msigwa. Eti rais? Wa aina ya Zitto? Kwa kura ya nani? kashauriane na Shibuda

Tundu Lizu na Mnyika wana mvuto mara mia kuliko zitto
 
Kwa wanaozungumzia udini, kumbukeni kikwete kapita kwa kura za wakristo, kama tukiamua wakristo wamchague slaa na waisilamu wamchague kikwete mnadhani kikwete atapata asilimia ngapi???
 
Tundu Lizu na Mnyika wana mvuto mara mia kuliko zitto

Kwa mtiririko huu wa kura unavyoendelea Zitto anapaswa kujipima nafasi yake ndani ya chama.Tunaweza kusema kura za hapa JF si kipimo hasa,lakini ni lazima Zitto ajue idadi kubwa ya member wa hapa JF ndio hao hao wanachama wenzie,viongozi wenzie,wabunge wenzie na wajumbe wenzie wa mkutano mkuu wa CDM.Kinachomng'arisha Dr Slaa hapa ni unyenyekevu wake kwa wanachama wenzie na kazi kubwa anayofanya kujenga chama chake.Dr Slaa hajawahi kuthubutu kuonyesha tamaa yake ya Urais bali mara zote wanachama wenzie ndiyo wanaomuamini na kumuomba awashikie bendera ya chama chao.Hata hivyo tusimkatishe sana tamaa Zitto kwani huenda ana mipango ya kugombea kama mgombea binafsi au anajiandaa kugombea kupitia chama cha rafiki yake Kafulila kinachoitwa CHAUMA.Tusubiri tuone....
 
Hivi nyie waklisto mboa wabaguzi? hivi sisi tunapowapigia kula waklisto hadi wanakwenda bungeni tumekuwa mabwege? kwanini hamuelimiki? mbona sisi Dr Slaaha tunampenda sana hatumbagui? kawakosea nini huyu Zitto asiyekauka midomoni mwenu? lakini kwakuwa wakristo wameanza kutubagua waislamu na sisi waislamu wote tunampenda ZUBERI ZITTO KABWE ndo swala zima tena niko tayari kuingia msikiti hadi msikiti kuwaambia waislamu wenzangu kuwa tusimchague slaa kwani ni mdini tutapata shida na dalili mmeshazianzisha yani mkianza hivyo mnavyotaka mbona 2015 kazi ipo, mana CCM mwaka 2015 lazima asimame mkristo mana katoka muislamu sasa kwanini na nyinyi msimsimamishe muislmu ambapo alitoka mklisto? kama mnapigania haki kwa maslahi ya waklisto mtachemka hakuna muislamu aliyezubaa kwa tgaarifa yenu
 
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.

Dr WS Is my choice! Ana maono mapya kwa taifa hili!
zzk! Asubiri na atuonyeshe kwa leo Maono yake!
 
Halafu Zitto akiwa Rais Wema Sepeto First Lady. Patamu hapo. Bongo Fleva, Bongo Movie Dar mpaka Kigoma.
 
Haka kajamaa zamani nilikuwa nakapenda kumbe masikini ufaham wangu ulikuwa mdogo sana wakati huo. keshapoteza hata sifa ya kuwa mbunge kwa sbb ya uroho wake wa madaraka na undumilakuwili na kujifanya yuko juu zaidi ya chama. Urais sahau kaka yangu Zitto aliyekudangaya kamwambie sisi vijana wenzio hatukuamini tena na kwa sasa huna mvuto kama alivyo mnyika,lissu na Mchungaji Msigwa. Eti rais? Wa aina ya Zitto? Kwa kura ya nani? kashauriane na Shibuda




kwasababu ya dini na ndio mana imefanya mumchukie sasa kwataaifa yenu waislamu wote Tanzania tunamkubali Zitto na tunampenda na hata akinziasha chama chake watanzania tutamchagua kwani huku kwetu kusini tunamkubli sana yani, kwakuwa mmekuwa wadini basi na sisi tunajitenga 2015 akigombea slaaha bora waislamu kura tumpe lipumba Cuf kuliko kuwapa wadini wabaguzi wasio na ushirikiano na upendo na sisi wenzao.
 
Hivi nyie waklisto mboa wabaguzi? hivi sisi tunapowapigia kula waklisto hadi wanakwenda bungeni tumekuwa mabwege? kwanini hamuelimiki? mbona sisi Dr Slaaha tunampenda sana hatumbagui? kawakosea nini huyu Zitto asiyekauka midomoni mwenu? lakini kwakuwa wakristo wameanza kutubagua waislamu na sisi waislamu wote tunampenda ZUBERI ZITTO KABWE ndo swala zima tena niko tayari kuingia msikiti hadi msikiti kuwaambia waislamu wenzangu kuwa tusimchague slaa kwani ni mdini tutapata shida na dalili mmeshazianzisha yani mkianza hivyo mnavyotaka mbona 2015 kazi ipo, mana CCM mwaka 2015 lazima asimame mkristo mana katoka muislamu sasa kwanini na nyinyi msimsimamishe muislmu ambapo alitoka mklisto? kama mnapigania haki kwa maslahi ya waklisto mtachemka hakuna muislamu aliyezubaa kwa tgaarifa yenu

watu wamekupuuza mnafiki wewe
 
Kanzu na kofia uliyoivaa bungeni ndio inakuponza zitto.



ulitaka avae nini? mi naona akuoe wewe ili uwe unamchagulia nguo za kuvaa mana umefikia hadi hatua ya kumnyanyapaa mtu kwa mavazi yake kweli wewe kilaza usiyejijua hivi mtaelimika lini nyie?
 
watu wamekupuuza mnafiki wewe


mnafki wewe uliyetumwa kumchafua Zitto kabwe utaisoma mwaka huu mlizani waislamu hatupo tupo ila huwa tunaingia na kutoka,
 
zito kabwe hanahaki cos si mkaskazini pili anasujudu kwani chama hch bila sifa hz kama huna huna lako
 
mi naona mbulula wewe mana hujui utendalo mana umekuja kuchafua watu siyo kutoa maoni yako au pendekezo lako liko wapi.
 
Kwa wanaozungumzia udini, kumbukeni kikwete kapita kwa kura za wakristo, kama tukiamua wakristo wamchague slaa na waisilamu wamchague kikwete mnadhani kikwete atapata asilimia ngapi???


bora iwe hivyo kuliko kumchagua mtu mwenye ubaguzi mana ameanza kunyesha hivyo kabla ya kupewa madaraka akipewa waislamu tutakuwa tunachetu? simnataka 2015 iendeee kutawala NYINYIEM fanyeni muone
 
Ndugu zangu wa Chadema naomba niwakumbishe jambo moja la msingi sana. Adui anaweza kutumia mbinu ya kitoto sana kukuangamiza. na mbinu hii inaitwa HILA. Hila ni pale adui anapokuletea jambo ukaliona kama ni zuri kwa muonekano wa kwanza ila ukishajiingiza linakurudi na linakuweka katika hali ambayo inakugharimu au kukuweka katika hali mbaya kuliko ulivyokuwa kabla ya kukubali kuingia kwenye mtego. CCM na mapandikizi yao wanatumia mbinu ya ya kuleta hoja kuujadili uraisi kwa sasa ili Wanachadema wajisahau wabaki wanalumbania uraisi halafu hiyo iwe chanzo cha migogoro na kujisahau kupambana na ufisadi na kukujenga chama, halafu wapate upenyo wa kuwamaliza Chadema. Ukiangalia viongozi wengi wa chadema hawajihusishi sana na suala la nani agombee 2015, wengi wako bussy kukijenga chama katika maeneo mbalimbali ya nchi. Huyu Dr. Slaa anayejadiliwa hapa nakumbuka katika mahojiano na mwandishi mmoja wa habari aliulizwa kama atagombea 2015, akajibu hivi: Vikao vya chama ndio vinamteua Mtu atakayeshika bendera kukiwakilisha chama katika nafasi ya uraisi, Hivyo mimi siwezi kusema sasa hivi kama nitagombea au la. Hayo ni maamuzi ya vikao wakati ukifika. Nawaomba wana CDM tuachane na hoja za namna hii kwa sasa. hoja yetu kubwa iwe ni kupambana na ufisadi na kukijenga chama. Ili tuweze kuwangoa hawa Magamba.



maoni yako mazuri sana yani wana JF wote wangekuwa na akili kama yako nazani hata upuuzi mwingi wa umbea na kumuongelea mtu ungepungua tatizo watu wamekalia majungu tu siyo kuwaza kukijega chama.
 
Dr.Slaa...naamini amepevuka vilivyo kuiendesha nchi na kuhimili siasa za kimataifa
 
Dr Slaa ni jembe a.k.a Mnyama...uyo zito ni celebrity kama Diamond.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom