Kupwaya kwa vipindi Clouds tv

Kupwaya kwa vipindi Clouds tv

Mambo vp wadau,kwa wale wapenz WA TV Bila Shaka mtakuwa wengi wenu mmeshawahi kutupia jicho clouds tv kama mnavyotupia jicho TV zingine

Katika kufanya hivyo binafsi nimegundua clouds tv Wana tatzo LA kupwaya kwa vipindi kwa maana ya kutokuwa na vipindi vya kutosha ktk TV Yao,tofauti na walivyojiimalisha ktk redio kwenye TV bado hawako vizuri pamoja na kuwa TV Yao Ina Muda mrefu hewani.

Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia wakilazimika kuchomekea miziki au vitu visivyo na umuhimu au ulazima ili kusogeza Muda WA kukifikia kipindi fulani au kuivuka tu siku.

Wito wangu ni kwamba clouds media ni chombo chenye wabunifu wengi na wanahabari mahiri its high time now wajitahidi kuweka vipindi vya kutosha kwenye TV Yao badala ya kufikiria tu kujitanua zaidi na kuongeza TV wakat bado clouds tv haijashiba vipindi.

Karibuni wadau wenye lolote LA kuchangia hasa kwa wale ambao wamegundua tatzo hili.

Vipindi vyote vyenye mvuto vilikuwepo katika ile Flash aliyoondoka nayo Paul Makonda siku zile alipowavamia usiku.
 
Clouds Tv vipindi vyao
Shilawadu
Habari
Take one
Mahusiano
360
Kambi popote
Sizikitaa
Swali tv ilo hewani masaa 24 baadhi ya vipindi hapo kwa wiki kipo mala moja je mda mwingine huwa kuna nini

Jibu: clouds bado hawajajipanga vizuri kwenye vipindi
Una akili nyingi
 
Tena hii channel yao Mpya ya clouds plus ndio ya hovyo kabisa..signal ziko chini..ina scratch balaa..mbaya zaidi sijaona jipya zaidi ya kurudia bongo movie..sasa sielewi ile channel ya sinema zetu ya kazi gani...labda nieleweshwe hapo
Hii nilichogundua ni biashara ya clouds wenyewe sababu baada ya miez mitatu itaanza kulipiwa sh elf Tatu kwahyo ktk pesa ya kifurush utaongeza elf Tatu ili upate na hyo clouds plus
 
Nadhani Ruge anakusikia atalifanyia kazi tatizo hili.
Itakuwa vyema,ruge ni mbunifu Sana naamini atajitahidi kubuni vipindi,naona hata kile cha zamarad take one nacho hakieleweki Mara kinakuwepo Mara kinapotea
 
Hii nilichogundua ni biashara ya clouds wenyewe sababu baada ya miez mitatu itaanza kulipiwa sh elf Tatu kwahyo ktk pesa ya kifurush utaongeza elf Tatu ili upate na hyo clouds plus

Aisee inawezekana..haiwezekani kuwe na channel mbili zenye mrengo unaofanana...na kwa clouds kwa wanavyojua kucheza na fursa hili linawezekana
 
Mambo vp wadau,kwa wale wapenz WA TV Bila Shaka mtakuwa wengi wenu mmeshawahi kutupia jicho clouds tv kama mnavyotupia jicho TV zingine

Katika kufanya hivyo binafsi nimegundua clouds tv Wana tatzo LA kupwaya kwa vipindi kwa maana ya kutokuwa na vipindi vya kutosha ktk TV Yao,tofauti na walivyojiimalisha ktk redio kwenye TV bado hawako vizuri pamoja na kuwa TV Yao Ina Muda mrefu hewani.

Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia wakilazimika kuchomekea miziki au vitu visivyo na umuhimu au ulazima ili kusogeza Muda WA kukifikia kipindi fulani au kuivuka tu siku.

Wito wangu ni kwamba clouds media ni chombo chenye wabunifu wengi na wanahabari mahiri its high time now wajitahidi kuweka vipindi vya kutosha kwenye TV Yao badala ya kufikiria tu kujitanua zaidi na kuongeza TV wakat bado clouds tv haijashiba vipindi.

Karibuni wadau wenye lolote la kuchangia hasa kwa wale ambao wamegundua tatzo hili.
Nafikiri ili kuwahukumu lazima ujue lengo la uanzishwaji wa Clouds TV , kila chombo cha habari kina lengo la uanzishwaji , ndiyo maana baadhi ya vituo vingine kwenye nchi za ughaibuni vinapiga muziki mwanzo mwisho ili kukidhi lengo la uanzishwaji, kwahiyo sidhani kama ni sahihi kuwakosoa TV Clouds, aidha tatizo la kutokuwa na vipindi sio kwa Clouds tu, naona Tv nyingi hapa Tanzania kuna muda fulani ndiyo kuna vipindi ambavyo vina uzito vinginevyo sijaona tofauti kubwa.
 
wanajua kucheka cheka tu sio suala la utani wala siliasi.
Na lile tangazo la coca cola dakika tano haziisha washaleta hata kama ni wazamini si hivyo mbona wenzao wanakaa walau dakika 20.
Wanazingua sana hawa jamaa
 
Back
Top Bottom