Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,389
- 1,898
Thread kama hii itafanya Clouds Media Group wapige hatua sana. Criticism is very necessary to change.
Waulize kama anawapigia offlineHvi bado anko magu anapiga sim clouds kuwapongeza
OvA
Mkuu umesema kweli. Taarifa yao ya habari onasomwa na MC Kapiga unatarajia itakuwa na flow ya kihabari? Ndo maana walikuwa wanapigia kelele mswada wa wanahabari...Clouds hawana kipindi cha maana zaidi ya taarifa ya habari nayo baada ya kuanza kutangaza kwa mtimbo wa kughani ngonjera basi kipindi kizuri kilicho baki ni tangazo la coca cola la kunywa hapa hapa
Nami nimetoka kuiangalia haina jipyaTena hii channel yao Mpya ya clouds plus ndio ya hovyo kabisa..signal ziko chini..ina scratch balaa..mbaya zaidi sijaona jipya zaidi ya kurudia bongo movie..sasa sielewi ile channel ya sinema zetu ya kazi gani...labda nieleweshwe hapo
Na chenyewe 360 kimechuja hawana jipya360 ndo kipindi kizuri kwangu.