four eyes
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 905
- 1,408
- Thread starter
- #61
Tatzo sio upigaji muziki tu,huo ni mfano tu uliotolewa lakini Kuna hata ule uludiajiuludiaji uliopitiliza WA vipindi au maonyesho au matukio ambayo yameshapita hadi unaona kabisa haya yanafanyika ili kupitisha Muda kwakuwa hakuna vipindiNafikiri ili kuwahukumu lazima ujue lengo la uanzishwaji wa Clouds TV , kila chombo cha habari kina lengo la uanzishwaji , ndiyo maana baadhi ya vituo vingine kwenye nchi za ughaibuni vinapiga muziki mwanzo mwisho ili kukidhi lengo la uanzishwaji, kwahiyo sidhani kama ni sahihi kuwakosoa TV Clouds, aidha tatizo la kutokuwa na vipindi sio kwa Clouds tu, naona Tv nyingi hapa Tanzania kuna muda fulani ndiyo kuna vipindi ambavyo vina uzito vinginevyo sijaona tofauti kubwa.
