Tangu kale, tangu enzi za manabii, Kanisa lilisimama katika ukweli, lilifundisha, lilikemea na kuwaonya watawala dhidi ya dhuluma. Mifano ipo mingi.
Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).
Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.
Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.
Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:
The dignity of human life
Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.
Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27
Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.
The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.
As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.
Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?
Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).
Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.
Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.
Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:
The dignity of human life
Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.
Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27
Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.
The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.
As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.
Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?