Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,680
- 20,433
Amepeleke maoni yake yapokelewe kama ushauri?Katika Kanisa Katoliki kuna kitu kinaitwa Hirakia. Hao Walei hawana maamuzi yoyote. Wao hushauri tu. Maamuzi yooote katika Kanisa hufanywa na Hirakia....