Kupima Reasoning ya Mwanamke

Kupima Reasoning ya Mwanamke

Mwanamme mwenye mawazo haya namuona hajastaarabika kwangu.

Wanawake wapo hadi mimi walionizidi na hata wewe najua wapo waliokuzidi kila kitu isipokuwa tofauti za kibailojia hizi hazikufanyi umzidi maana ni Gender rules.

Sasa kama mwanamke.
-anakuzidi pesa/uchumi
-anakuzidi uwezo kupambanua mambo
-Elimu
-ushawishi
-power/maamuzi

Utasema huyu ni dhaifu?
Mungu mwenyewe aliyewaumba amesema ni viumbe dhaifu alafu wew unabisha, hii kali...
 
Eti kwamba Mwanamke Hana Udhaifu ni tofauti tu ya kijinsia
Hakuna sehemu nimesema mwanamke hana udhaifu.

Wanawake dhaifu wapo na wanaume dhaifu wapo. Nyie mnataka kuniaminisha Wanawake in nature ni dhaifu nikawauliza katika nini hamtaki kusema.

Huo udhaifu mnaouongelea nyie ni tofauti za kijinsia.
 
Hakuna sehemu nimesema mwanamke hana udhaifu.

Wanawake dhaifu wapo na wanaume dhaifu wapo. Nyie mnataka kuniaminisha Wanawake in nature ni dhaifu nikawauliza katika nini hamtaki kusema.

Huo udhaifu mnaouongelea nyie ni tofauti za kijinsia.
Tuanze...UDHAIFU ni nini?
 
tofauti za kijinsia kati ya mwanamke na mwanamme sio udhaifu.

Tatizo mnashindwa kuniambia udhaifu wa mwanamke upo kwenye nini.

Udhaifu wa mwanamke upo kwenye nini ??
Mungu amesema hivi tuishi nao kwa akili maana ni viumbe dhaifu, sasa wewe unambishia aliyeumba?? Tukuamini wewe kuliko aliyewatengeneza sio?
 
Kwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.

Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
Hivi umeelewa mleta mada anataka nini?
 
Kwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.

Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
Hivi umeelewa mleta mada anataka nini?
 
Mwanamme mwenye mawazo haya namuona hajastaarabika kwangu.

Wanawake wapo hadi mimi walionizidi na hata wewe najua wapo waliokuzidi kila kitu isipokuwa tofauti za kibailojia hizi hazikufanyi umzidi maana ni Gender rules.

Sasa kama mwanamke.
-anakuzidi pesa/uchumi
-anakuzidi uwezo kupambanua mambo
-Elimu
-ushawishi
-power/maamuzi

Utasema huyu ni dhaifu?
Weweee mwanamke anaweza kukuzidi elimu, pesa lkn hawezi kukuzidi namna ya kupambanua mambo hawezi kukuzid busara ya kuona mbali..... Yan yeye awe na akili zake timamu na wewe uwe na akili zako timamu kamwe hawezi kuuzidi utimamu wako labda km wewe dume uwe na kichwa mpira hapo kweli atakua ye ndo mwamuzi wa mambo ya familia yenu...ukweli ndo huo ndugu embu km hujaishi na mwanamke ndani jaribu kufanya ivo utaona jinsi anavyobolonga ndo utaamini
 
Mungu amesema hivi tuishi nao kwa akili maana ni viumbe dhaifu, sasa wewe unambishia aliyeumba?? Tukuamini wewe kuliko aliyewatengeneza sio?
Binadamu yeyote ishi naye kwa akili siyo mwanamke tu.

Kwanini unaleta mada nyingine? Sio kila unayemwona anaamini unachoamini wewe.
 
Kuna dada mmoja namchukia hadi leo,siku ya kwanza kukutana nae dakika chache za mwanzo kabisa aligundua udhaifu wangu mkubwa ambao huwa sipendi mtu yeyote aujue,nilishangaa ghafla anaanza kusimulia wenzake juu ya huo udhaifu wangu!!......For the past thirty years hakuna mtu yeyote ambae anaujua huo udhaifu ila yeye aliugundua kwa mda mfupi sana!!.....Wanawake wamepewa ugenius wa asili!
 
Weweee mwanamke anaweza kukuzidi elimu, pesa lkn hawezi kukuzidi namna ya kupambanua mambo hawezi kukuzid busara ya kuona mbali..... Yan yeye awe na akili zake timamu na wewe uwe na akili zako timamu kamwe hawezi kuuzidi utimamu wako labda km wewe dume uwe na kichwa mpira hapo kweli atakua ye ndo mwamuzi wa mambo ya familia yenu...ukweli ndo huo ndugu embu km hujaishi na mwanamke ndani jaribu kufanya ivo utaona jinsi anavyobolonga ndo utaamini
Hahaha kwa hiyo wanaume wote duniani wanawazidi wanawake kupambanua mambo yote?

Duuh, haya.
 
Mascularity sawa lakini hii tofauti ya kibailojia.

Akili wewe kuna wanawake wanakuzidi hadi humu wapo. Tafuta kipimo cha akili tuwapime na mmoja wa humu uone.

Mawazo kuna wanawake wana mawazo mazuri kukuzidi wewe.
Mwamke anaweza kuwa mwasheria labda alafu mimi fundi welding lakini kusoma kwa huyu mwanamke hakuondoi nature yake
Kuna mambo ya kawaida tu ambayo sio tatizo kwa mwanaume atakuja kuuliza tu au kuomba ushauri
Na wao kiasili wanaamini mwanaume anaweza hata ukiwauliza na kama wakibisha ni kwa sababu tu wanataka usawa japo tukiamua iwe sawa kweli watalalamika wanaonewa kwa sababu wanaume kuna vtu tunafanya mwamke hawezi kufanya
Hata wanyama kuna ambao wanafundishwa taaluma fulani na wanakuwa mahiri kuliko hata binadam sio kwamba wanatuzi akili hapana asili yao iko palepale
 
Udhaifu ni mapungufu ya mtu.
Asante, Tunasema Wanawake ni Dhaifu kwa sababu hawawezi Kumanage Logic na Emotions kwa wakati Mmoja...mwanamke hatumuamini katika baadhi ya maamuzi kwa sababu ya yeye kuwa na uwezekano mkubwa w kutumia hisia kuliko logic na huo ni udhaifu tofauti na sisi wanaume tunaotumia Logic zaidi
 
Mwamke anaweza kuwa mwasheria labda alafu mimi fundi welding lakini kusoma kwa huyu mwanamke hakuondoi nature yake
Kuna mambo ya kawaida tu ambayo sio tatizo kwa mwanaume atakuja kuuliza tu au kuomba ushauri
Na wao kiasili wanaamini mwanaume anaweza hata ukiwauliza na kama wakibisha ni kwa sababu tu wanataka usawa japo tukiamua iwe sawa kweli watalalamika wanaonewa kwa sababu wanaume kuna vtu tunafanya mwamke hawezi kufanya
Hata wanyama kuna ambao wanafundishwa taaluma fulani na wanakuwa mahiri kuliko hata binadam sio kwamba wanatuzi akili hapana asili yao iko palepale
 
Haya subiri siku Malkia Elizabeth awe dhaifu kwako.

Halafu sina muda wa kumsifia mtu mimi nakuelekeza uachane na mawazo yako.
Mkuu usiangalie cheo chake au wadhifa wake serikalini au wharever tunasemea busara zake kwenye kutolea uamuzi problem flan au conflict flan au kugundua uzur au ubaya wa jambo flan kabla ya kulifanya mfano kwenye vitu vinavyoitaji kutolewa uamuzi flan potential au vinavyoitaji msimamo flan au kwenye kutoa ushauri juu ya jambo flan ya hata action zao utagundua huyu kuna vitu vinamiss
 
Back
Top Bottom