Kupima Reasoning ya Mwanamke

Kupima Reasoning ya Mwanamke

Best we najua huo mrengo haukuhusu kabisa. Big up, na uje uwalee wanetu wa kiume kuwa WANAUME kama baba yao.
Sure... Napataga heartburn nikionaga kejeli kama hizi.. Stay strong my mom nd my sisy mmenitoa mbali
 
Kwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.

Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
Mwanamke anaweza kuwa kakuzidi kipato,elimu na umri wa kutosha tu lakin kama uko nae kwenye uhusiano kuna mambo utagundua na kuona kwamba wa kike ni wakike tu
 
Sure... Napataga heartburn nikionaga kejeli kama hizi.. Stay strong my mom nd my sisy mmenitoa mbali
Mlivyoambiwa muishi nasi kwa akili mlifikiri kwasababu sie vilaza eeeh!!!
Mjitafakari sana, na mkumbuke misingi.
 
Nadhani wamesahau majibu bado wanatafuta. But kwa haraka mwanamke udhaifu wake umebase kwenye hisia zaidi. Ni watu wa huruma sana mwisho wa siku huruma zao zinawaponza then wanakuwa watu wa chuki kupita kiasi hata kwa vinavyopaswa kuhurumiwa, wengi hawawezi kushindana na hisia zao kama wanaume na hapo ndipo ikaja kuwa suala la madaraka au kichwa cha familia anafit zaidi baba coz maamuzi ya mwanaume mara chache hayaongozwi na hisia kama ilivyo kwa mwanamke. Japo sikuizi mambo yanabadilika kuna hata viongozi wengi wanawake ni kama ilivyo nature ya binadamu kupingana na nature yake thus why the world is going shakarabagala.
Exactly, mimi sifa ambazo mwanamke anazo na mwanamme hana sioni kama ni udhaifu ni tofauti za kijinsia tu(gender rule).

Hata ubongo wa mwqnamke ni tofauti na wa mwanamme..kwenye processing, chemistry, structure n.k.

mwisho wa siku tutasema kuwa na matiti ni udhaifu au kutokuzaa ni udhaifu.
 
Mwanamke anaweza kuwa kakuzidi kipato,elimu na umri wa kutosha tu lakin kama uko nae kwenye uhusiano kuna mambo utagundua na kuona kwamba wa kike ni wakike tu
Sasa ulitaka wa kike awe wa kiume?
Mwanamke lazima awe mwanamke tu kwasababu yeye ni mwanamke.
 
Kuna vitu vingi, mfano, unampa pesa ya kusuka nywele lakini anaacha kusuka anamnunulia mtoto daftari la shule. anabania pesa ya matumizi anaongeza vifaranga vya kuku na mengine mengi
Na abarikiwe muke huyo wakwako
 
Mwanamke anaweza kuwa kakuzidi kipato,elimu na umri wa kutosha tu lakin kama uko nae kwenye uhusiano kuna mambo utagundua na kuona kwamba wa kike ni wakike tu
Udhaifu ni nini! Na hapo udhaifu wa mwanamke utakuwa kwenye nini?

Wa kike ni wa kike kweli hili lipo wazi na wa kiume ni wa kiume tu.

mwqnamke akikosa sifa alizonazo mwanamme huo sio udhaifu nitawaelewa kama mtaniambia Mwanamke akikosa sifa mwqnamke anazotakiwa kuwq nazo ndiyo dhaifu.
 
Hhahahhaha kichwa ndo kinapiga ngeta mkuu... Kiukwel tuache unazi au kujikubali pasipo na haja. Wanawake wanatusaidia mno ila tunawachukuliaga mapopoma sana oooh ni kiumbe dhaifu... Naandika hivi kwa experience na mifano hai ya familia kadhaa... Wanaume tunazingua.
Hatukatai kwamba hawatusaidii
 
Mlivyoambiwa muishi nasi kwa akili mlifikiri kwasababu sie vilaza eeeh!!!
Mjitafakari sana, na mkumbuke misingi.
Nimemwambia jamaa apo.. Reason ya mwanaume kuambiwa aishi kwa akili na mwanamke
 
Exactly, mimi sifa ambazo mwanamke anazo na mwanamme hana sioni kama ni udhaifu ni tofauti za kijinsia tu(gender rule).

Hata ubongo wa mwqnamke ni tofauti na wa mwanamme..kwenye processing, chemistry, structure n.k.

mwisho wa siku tutasema kuwa na matiti ni udhaifu au kutokuzaa ni udhaifu.
Umeanza uongo Naona unapinga hadi vitabu vitakatufu
 
Udhaifu ni nini! Na hapo udhaifu wa mwanamke utakuwa kwenye nini?

Wa kike ni wa kike kweli hili lipo wazi na wa kiume ni wa kiume tu.

mwqnamke akikosa sifa alizonazo mwanamme huo sio udhaifu nitawaelewa kama mtaniambia Mwanamke akikosa sifa mwqnamke anazotakiwa kuwq nazo ndiyo dhaifu.
Mkuu UDHAIFU ni nini??
 
Udhaifu ni nini! Na hapo udhaifu wa mwanamke utakuwa kwenye nini?

Wa kike ni wa kike kweli hili lipo wazi na wa kiume ni wa kiume tu.

mwqnamke akikosa sifa alizonazo mwanamme huo sio udhaifu nitawaelewa kama mtaniambia Mwanamke akikosa sifa mwqnamke anazotakiwa kuwq nazo ndiyo dhaifu.
Jitahidi uwe na uhusiano na mwanamke unayehisi kakuzidi mambo fulani fulan alafu utakuja kutupa mrejesho

Mwanamke hana u strong aliokuwa nao mwanaume na hii ni kwa kila kitu kuanzia mawazo akili nguvu na kila kitu ndio maana mwanaume atabaki kuwa kichwa tu
 
Jitahidi uwe na uhusiano na mwanamke unayehisi kakuzidi mambo fulani fulan alafu utakuja kutupa mrejesho

Mwanamke hana u strong aliokuwa nao mwanaume na hii ni kwa kila kitu kuanzia mawazo akili nguvu na kila kitu ndio maana mwanaume atabaki kuwa kichwa tu
Mascularity sawa lakini hii tofauti ya kibailojia.

Akili wewe kuna wanawake wanakuzidi hadi humu wapo. Tafuta kipimo cha akili tuwapime na mmoja wa humu uone.

Mawazo kuna wanawake wana mawazo mazuri kukuzidi wewe.
 
Back
Top Bottom