FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Hhahahhaha kichwa ndo kinapiga ngeta mkuu... Kiukwel tuache unazi au kujikubali pasipo na haja. Wanawake wanatusaidia mno ila tunawachukuliaga mapopoma sana oooh ni kiumbe dhaifu... Naandika hivi kwa experience na mifano hai ya familia kadhaa... Wanaume tunazingua.Kwa sababu sisi Wanaume ni Kichwa cha Familia

