Kupima Reasoning ya Mwanamke

Kupima Reasoning ya Mwanamke

Kwa sababu sisi Wanaume ni Kichwa cha Familia
Hhahahhaha kichwa ndo kinapiga ngeta mkuu... Kiukwel tuache unazi au kujikubali pasipo na haja. Wanawake wanatusaidia mno ila tunawachukuliaga mapopoma sana oooh ni kiumbe dhaifu... Naandika hivi kwa experience na mifano hai ya familia kadhaa... Wanaume tunazingua.
 
Mwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
Hahaha! Pole yako
 
Kuna vitu vingi, mfano, unampa pesa ya kusuka nywele lakini anaacha kusuka anamnunulia mtoto daftari la shule. anabania pesa ya matumizi anaongeza vifaranga vya kuku na mengine mengi
 
Mbona mtoa mada mnamdhambulia!!! Huo uzi unajulikana mwenye nao aupandishe!!! Maana Jamaa mmeshamuita mariooo!!!
Hatareee!!!
 
Usimpime kwa maswali mpime kwa matendo hapo ndio utamuelewa ...
Hakika! Maana atakutana na mwanamke mwenye IQ kubwa kuliko yake, akajikuta anauliza maswali ya "kitoto" What a "turn off?!" 🙄
 
Wanaume siku hizi ndiyo tumekua dhaifu na tunazidi kuwa dhaifu. Udhaifu wa wanawake siku hizi unabakia kwenye mascularity tu na huu sio udhaifu ni toafuti za jinsia.. vingine wanakuzidi wewe

Pesa,elimu,Akili za maisha, kila kitu. Sasa kiumbe chenye nguvu kitaanza kujadili udhaifu wa kiumbe dhaifu wtf!!
Umezungumza vyema kabisa.....
 
Hahahaa!! Best nyie si ndio vichwa vya familia jamani!!
Kwakweli mnatusikitisha sana aisee.
Daaah sipo huo mrengo au sina hiyo kaliba besty.. Nitawaheahimu hadi nafukiwa chini..
 
Biblia Takatifu inasema Mwanamke ni Kiumbe Dhaifu....Kwahio mm naenda sambamba na Biblia
Ni dhaifu kweli kweli.. lakin kwani udahifu ndio reasoning!?

Katika udhaifu sipingi, na ndio maana unaweza kukuta mwanamke akato mbwa kisa tu jamaa amekuwa mkarimu kwake, jamaa ana kucha nzuri n.k n.k.. ni rahis kulaghaika pia.
Lakin kwenye suala zima la reasoning wapo timamu yaani wazima hasa kichwani na wapo pia mapopoma kama tulivyo wanaume tupo mapopoma na wapo wenye akili zao timamu.
 
Mwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
Hahaa aaaaa nimecheka sana, mkuu ukija kuoa mkeo atapata shuruba sana
 
Aliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.

Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.

Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
Mkuu acha utani basi....
 
Daaah sipo huo mrengo au sina hiyo kaliba besty.. Nitawaheahimu hadi nafukiwa chini..
Best we najua huo mrengo haukuhusu kabisa. Big up, na uje uwalee wanetu wa kiume kuwa WANAUME kama baba yao.
 
nimewauliza udhaifu wa mwanamke upo kwenye nini hamjibu.

Na mimi akili yangu ipo free haijafungwa mkinishawishi kwa mifano ya sasa nawaunga mkono.

Ila kama mtaendelea hivi basi sina haja ya kuwalazimisha maana sipambani.
Nadhani wamesahau majibu bado wanatafuta. But kwa haraka mwanamke udhaifu wake umebase kwenye hisia zaidi. Ni watu wa huruma sana mwisho wa siku huruma zao zinawaponza then wanakuwa watu wa chuki kupita kiasi hata kwa vinavyopaswa kuhurumiwa, wengi hawawezi kushindana na hisia zao kama wanaume na hapo ndipo ikaja kuwa suala la madaraka au kichwa cha familia anafit zaidi baba coz maamuzi ya mwanaume mara chache hayaongozwi na hisia kama ilivyo kwa mwanamke. Japo sikuizi mambo yanabadilika kuna hata viongozi wengi wanawake ni kama ilivyo nature ya binadamu kupingana na nature yake thus why the world is going shakarabagala.
 
Back
Top Bottom