Kupima Reasoning ya Mwanamke

Kupima Reasoning ya Mwanamke

Aliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.

Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.

Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
Nina wasi wasi na jimsia yako.
Bilashaka wewe Sio mwenzetu.
 
Nimekuelewa sana mkuu hapo ulipo pitia kwa mangi mwambie akupe kinywaji bariiiiidi nakuja kulipa
Mkuu hawa wadogo zetu nikukaa na kusema mwanamke ni dhaifu ni dhaifu hadi ndani familia zao unakuta mzee pesa hana Nguvu hana maamuzi ndani ya nyumba anayalazimishia kisa iliandikwa yeye ni kichwa cha familia.

Mwanamme ili mwqnamke awe dhaifu unatakiwa ummiliki kuanzia uchumi na kila kitu. Haya mambo ya kusema mwanamke ni dhaifu yataishia midomoni.
 
Ndio endlea
Wengine mambulula na wengune werevu, pia inategemea na umri wa mwanamke, sasa sijui kwako uko na mwanamke wa aina gani ambaye unataka kumpima uelewa wake ,
 
Wewe unayeamini mimi kuamini vitabu vya kizungu nimekengeuka ila kuamini kwako biblia kuwa mwanamke ni dhaifu ni sawa hatuwezi kuelewana.
Aaahh....kumbe unawaamini Wazungu, Sasa wewe endelea kuwaamini na sisi tunaamini maandiko ya muumba wa Aridhi na mbingu, tutaona nani yupo Sahihi kwenye huu mpambano.
 
Hakuwa kiazi kama nyie wa siku hizi aisee!!
Nina Mashaka na uwezo wako wa kufikiri kama ndio huu wa Nyuma ya keyboard wacha tu sisi tuwaponde
 
Kwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.

Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
HESHIMA KWAKO!! Nakutakia Heri na Fanaka katika kipindi hichi cha sikukuu; Blessings for 2018!
 
Aaahh....kumbe unawaamini Wazungu, Sasa wewe endelea kuwaamini na sisi tunaamini maandiko ya muumba wa Aridhi na mbingu, tutaona nani yupo Sahihi kwenye huu mpambano.
nimewauliza udhaifu wa mwanamke upo kwenye nini hamjibu.

Na mimi akili yangu ipo free haijafungwa mkinishawishi kwa mifano ya sasa nawaunga mkono.

Ila kama mtaendelea hivi basi sina haja ya kuwalazimisha maana sipambani.
 
Nina Mashaka na uwezo wako wa kufikiri kama ndio huu wa Nyuma ya keyboard wacha tu sisi tuwaponde
We si umesema uwezo wa kufikiri wa wanawake hauujui, sasa wangu umeujuaje? Unajitekenya eti!!!
 
Back
Top Bottom