sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 4,439
- 10,877
Haahaaa namtania mwamba apo ni joking tu..jamaa yupo safe kongore kwake..Acha masihara basi mkuu
Watu wachache sana wenye ujasiri wa kupima kwa hiari kama mwamba apo
Haahaaa namtania mwamba apo ni joking tu..jamaa yupo safe kongore kwake..Acha masihara basi mkuu
Hapo najua anaona wivu sana kuona mwenzie kapima na yuko poa..Wee miyeyusho 😂
Sema nini nenda kajue afya yako
Watu mnaogopa kupima mnakuwa na hasira Za karibu sana
Yeah,kajitoa mhanga 🤣Haahaaa namtania mwamba apo ni joking tu..jamaa yupo safe kongore kwake..
Watu wachache sana wenye ujasiri wa kupima kwa hiari kama mwamba apo
Mkuu haya maisha matamu sana ukiwa mzima..Haahaaa namtania mwamba apo ni joking tu..jamaa yupo safe kongore kwake..
Watu wachache sana wenye ujasiri wa kupima kwa hiari kama mwamba apo
Sisi wengine ni kama vinyau vya kuzungu ili kukichoma sindano lazima ukifunge kwenye cageWee miyeyusho 😂
Sema nini nenda kajue afya yako
Watu mnaogopa kupima mnakuwa na hasira Za karibu sana
Yaan Mimi nikajua yupo serious kutaka kumuumiza mwenzie,kumbe wanajuanaHayuko serious acha kukasirika
Anajua ukweli Ila anamchamsha akili mchzi
Ngoja nikae kimya tu mkuu, wahenga wanasema usione vyaelea.Mkuu haya maisha matamu sana ukiwa mzima..
Nenda hospitali ukaone wenye chronic diseases ndiyo utajua thamani ya afya njema.
Sawa, asante kwa ushauri 🤣🤣🤭Muda wako ukifika utaolewa Tena au sio.
Safari hii usiwe mjeuri
Hapa umetupiga kamba😀Hatujaanza kufanya...tutapima tu aisee
Nimemwelewesha mleta mada hivyo tulia tuliHapa umetupiga kamba😀
Last seen lini?
Usiku mwema mkuuJibu pm yangu.
Mara ya kwanza nimejitosa kupima kwenye maonesho ya sabasaba mwaka nimesahau..Acha uwoga Mzee wangu.
Kiukweli Mimi nilikuwa Sina Raja kabisa mwanzo hasa nikiskia stori Za ukimwi
Kazi Kazi Mzee wangu.Mara ya kwanza nimejitosa kupima kwenye maonesho ya sabasaba mwaka nimesahau..
Yule dada kabla hajanipa majibu akaniuliza umewai kushiriki tendo bila Kinga🏊🏊🏊🏊,nikamjibu ndio.
Akasema hongera vipimo vinaonesha upo salama lakini usirudie tena kuwa muangalifu cheza kwa step
Afya ni mtaji..Kazi Kazi Mzee wangu.
Yaani saivi najiona Niko poa Sasa stress ipo kwenye Hela Sasa sio kupima Tena