Kupima Afya ni Jambo Zuri (UKIMWI)

Kupima Afya ni Jambo Zuri (UKIMWI)

Baada ya kufika miaka 35 plus ndiyo nimekuja kugundua ni kwa namna gani afya ni mtaji mkubwa sana.

Ukipata chronic diseases na ukawa bado unajitafuta ujue ndiyo basi tena.

NB: Hiko ni cha kwangu mkuu.
Ikiwa kwenye C majibu ndio ipo inakuwa
 
Baada ya kufika miaka 35 plus ndiyo nimekuja kugundua ni kwa namna gani afya ni mtaji mkubwa sana.

Ukipata chronic diseases na ukawa bado unajitafuta ujue ndiyo basi tena.

NB: Hiko ni cha kwangu mkuu.
Hongera sana 👊
 
Baada ya kufika miaka 35 plus ndiyo nimekuja kugundua ni kwa namna gani afya ni mtaji mkubwa sana.

Ukipata chronic diseases na ukawa bado unajitafuta ujue ndiyo basi tena.

NB: Hiko ni cha kwangu mkuu.
Hakikisha na mke anapima, maana sikuhizi hauchagui pa kuingilia mkuu
 
Shida una shortage of knowledge mkuu.

Omba uelekezwe namna ya kuvisoma hivyo vidude.
Kumbe umeona hii mkuu anataka uukate usingizi mida hii.

Chukuwa konyagi Kwanza uweke akili sawa
 
Ikiwa kwenye C majibu ndio ipo inakuwa
Ombeni msaada muelekezwe namna ya kuvisoma wakuu.

Mstari ukitokea mmoja, kwenye Control (C), basi jua uko NEGATIVE.

Mistari ikitokea miwili, kwenye Control (C) na kwenye either 1 au 2, basi jua uko POSITIVE.
 
Ombeni msaada muelekezwe namna ya kuvisoma wakuu.

Mstari ukitokea mmoja, kwenye Control (C), basi jua uko NEGATIVE.

Mistari ikitokea miwili, kwenye Control (C) na kwenye either 1 au 2, basi jua uko POSITIVE.
Kumbe nimelewa 😂.

Kazi Kazi kaka hapo Sasa endelea kuteleza na futa
 
Hakikisha na mke anapima, maana sikuhizi hauchagui pa kuingilia mkuu
Anaachaje sasa mkuu.

Nilishamuambia haya maisha yana furaha mkiwa wazima wa afya.

Siku mmoja wetu akiukwaa ajue ndiyo maisha yanakuwa yameshakosa maana.

Nawe hakikisha shemeji yetu anapima mkuu.
 
MKuu hivi virus vimeshiba mbona ndio maana vimegomea hapo kwenye control..
Yani apa nipo na wajomba wanauliza kwamba tunazika au tunasafirisha😂
Wee miyeyusho 😂

Sema nini nenda kajue afya yako
Watu mnaogopa kupima mnakuwa na hasira Za karibu sana
 
Back
Top Bottom