sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Na ni hasa kwa jamii nyingi za kiafrika, mtu unakuta tu anapenda kuwatesa wanyaa na kuwadharau, ni mtu huyp huyo hujivika unafiki wa kwenda kanisani / msikitini wakati hutesa viumbe vya Muumba
Ng'ombe anayechelewesha msafara yuko mbele lakini unakuta mtu anamtia bakora ng'ombe wa nyuma aliyezuiwa na wa mbele, huko ni kukosa akili
Mbwa anajipitia zake hana habari na wewe, unaanza kumtupia mawe, una dalili ya uchizi.
Paka anapita zake hana habari na wewe, unaanza kumfukuza na kumtukana, una utindio wa ubongo.
Mbwa unaishi nae lakini humuogeshi na banda lake ni chafu hujali usafi wake, wewe ni Mbwiga.
Kuku umemnunue kumchinja humpi hata maji wewe wawaza kusali tu kabla hujamla, wewe ni mluga luga
Paka ama mbwa kala chakula ulichokiacha wazi, ndivyo alivyoumbwa, wewe waanza kumpiga, si ajabu siku moja utamkata kiganja mtoto asiejitambua kisa kakinyea.
Ng'ombe anayechelewesha msafara yuko mbele lakini unakuta mtu anamtia bakora ng'ombe wa nyuma aliyezuiwa na wa mbele, huko ni kukosa akili
Mbwa anajipitia zake hana habari na wewe, unaanza kumtupia mawe, una dalili ya uchizi.
Paka anapita zake hana habari na wewe, unaanza kumfukuza na kumtukana, una utindio wa ubongo.
Mbwa unaishi nae lakini humuogeshi na banda lake ni chafu hujali usafi wake, wewe ni Mbwiga.
Kuku umemnunue kumchinja humpi hata maji wewe wawaza kusali tu kabla hujamla, wewe ni mluga luga
Paka ama mbwa kala chakula ulichokiacha wazi, ndivyo alivyoumbwa, wewe waanza kumpiga, si ajabu siku moja utamkata kiganja mtoto asiejitambua kisa kakinyea.