Kupendwa raha jamani

Kupendwa raha jamani

huku mtu ana mwanamke lika mkoa watoto lukuki hahahaahahahh atoke na yupi aache yupi lawama khaaaa sasa kikwete atatoka na mke au mtoto yupi????????

hahaha na kweli!
 
attachment.php


Kwa Watanzania hii haina maadili....imagine Salma ashikwe hivyo!


Ikiwa ameshikwa na Jakaya hamna noma na tunapaswa kuheshimu. Nani hajui Jakaya ni mume wa Salma?
Maadili yapi ya watanzania yanakataza hiyo?
 
Mapenzi hayaigwi jamani. Na kila uhusiano una challenges zake, including hawa. Kuna mtu ana mapenzi ya ukweli na ya dhati na hakumbuki kubusu ama kushika kiuno hadharani. Na yupo ambae anampiga mkewe sirini ama anamuibia hela mumewe na ukiwakuta hadharani hautaamini.

Kuna mtu ni serial cheater lakini at the same rate anayoonyesha mapenzi kwa mwenza wake ndo anafanya hivyo hivyo kwa wa nje! Hukawii kukuta mama salma anapendwa na mumewe kuliko huyu michelle. You never notice what you have until you loose it all, just saying

umemaliza mapwenti yote muhimu.....!
 
Hiyo keki anayopewa jk mbona kubwa kuliko mdomo? Tatizo letu tunapenda kuigiza kuliko uhalisia wa maisha yetu.
 
Back
Top Bottom