![]()
Kwa Watanzania hii haina maadili....imagine Salma ashikwe hivyo!
Mapenzi hayaigwi jamani. Na kila uhusiano una challenges zake, including hawa. Kuna mtu ana mapenzi ya ukweli na ya dhati na hakumbuki kubusu ama kushika kiuno hadharani. Na yupo ambae anampiga mkewe sirini ama anamuibia hela mumewe na ukiwakuta hadharani hautaamini.
Kuna mtu ni serial cheater lakini at the same rate anayoonyesha mapenzi kwa mwenza wake ndo anafanya hivyo hivyo kwa wa nje! Hukawii kukuta mama salma anapendwa na mumewe kuliko huyu michelle. You never notice what you have until you loose it all, just saying
Niulize tuu etii wakubwa wanamna hii nao hu-cheat?
"To know the enemy is half the victory"
![]()
Kwa Watanzania hii haina maadili....imagine Salma ashikwe hivyo!
huku mtu ana mwanamke lika mkoa watoto lukuki hahahaahahahh atoke na yupi aache yupi lawama khaaaa sasa kikwete atatoka na mke au mtoto yupi????????Upendo la dhati halijifichi ! mpaka watoto wa Obama wanajua baba na mama wanapendana na wao wanajikuta wanawapenda wazazi wao.
Nkubaliana na King'asti kwa asilimia kubwa.
Lakini pia tujiulize hivi kweli mila zetu zinasemaje?? je zinaruhusu kapo za kushikana kiuno njiani?? Na je rais wetu dini yake inamruhusu?? Nijuavyo mimi na hapa niko tayari kukosolewa Waislamu wako na maadili sana ya namna ya kujistiri hadi namna ya kuonekana njian kwa mume na mke. naonaga wanaruhusiwa kushikana mikono lakini kiuno sina hakika nalo. Istoshe mila zetu za kiafrika kushikwa kiuno na mwanaume njian haijakaa vyema ingawa hatujakatazwa. Mikono huwa tunashikana na mtu hawez kuhoji, kukumbatiwa hadharani hii haijakaa sawa ndo maana hata kwenye harusi huwa wengine wanashindwa kumbusu bi harusi kwa kumkumbatia la wanaishia kumshika mkono tu.
Mume mwema huyooooo!
huku mtu ana mwanamke lika mkoa watoto lukuki hahahaahahahh atoke na yupi aache yupi lawama khaaaa sasa kikwete atatoka na mke au mtoto yupi????????
Nkubaliana na King'asti kwa asilimia kubwa.
Lakini pia tujiulize hivi kweli mila zetu zinasemaje?? je zinaruhusu kapo za kushikana kiuno njiani?? Na je rais wetu dini yake inamruhusu?? Nijuavyo mimi na hapa niko tayari kukosolewa Waislamu wako na maadili sana ya namna ya kujistiri hadi namna ya kuonekana njian kwa mume na mke. naonaga wanaruhusiwa kushikana mikono lakini kiuno sina hakika nalo. Istoshe mila zetu za kiafrika kushikwa kiuno na mwanaume njian haijakaa vyema ingawa hatujakatazwa. Mikono huwa tunashikana na mtu hawez kuhoji, kukumbatiwa hadharani hii haijakaa sawa ndo maana hata kwenye harusi huwa wengine wanashindwa kumbusu bi harusi kwa kumkumbatia la wanaishia kumshika mkono tu.