Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,954
- 8,148
Hakuna anayetaka shidaWapoo, ni wewe tu na tamaaa zako!
Hakuna anayetaka shidaWapoo, ni wewe tu na tamaaa zako!
Me naweza kuwa namwanaume asie na pesa ila tu asintegemee kwa msosi na malazi nooo nakuchoka mapema ....Kumpata wa kukupenda bila pesa sijui kama bado yupo
Nmependa ulivyomaliziaJamii ya Kiafrika ni jamii ambayo imetawaliwa na changamoto kibao ambazo utatuzi wake ni fedha.
Na mara nyingi jamii yenye shida kibao karibu kila kitu huwa kinageuzwa fursa mradi tu mtu aweze kupunguza shida zake.
Na ndio maana ni afrika pekee ambapo hata kuulizia njia tu mtu anataka umlipe, so kuna muda tusiwalaumu sana wanawake kwa tabia yao ya kudanga maana ni mazingira na umasikini uliotamalaki kwenye bara hili umewa shape kuwa hivyo walivyo.
Kikubwa waache utapeli tu.
ha ha ha ha ubahili unatawalaKomenti za mtu humu zinaweza kukufanya umjue huyo mtu jinsi tabia yake ilivyo
Ndio ukweli huoWanasema rafiki/ndugu wa kwanza na wakaribu ni pesa...baada ya hapo wengine wanafuata
AiseeWatajiju sasa,kufikishwa kileleni watatufikisha na pesa watatoa.
si kweli hata mwanamke akupende vipi usipoweza kumtunza na haoni uelekeo lazima mapenzi yapungue...,mwanamke anafata vitu viwili..mapenzi na maslahi yake ya maisha ya kawaidaHapo sio kwamba unakuwa umependwa ila umefanywa buzi. Mtu akikupenda anakupenda kivyovyote
Kama ingekuwa hivyo maskini wasingeoasi kweli hata mwanamke akupende vipi usipoweza kumtunza na haoni uelekeo lazima mapenzi yapungue...,mwanamke anafata vitu viwili..mapenzi na maslahi yake ya maisha ya kawaida
hapana wameoa kwa sababu ya pesa iliyopo wao inawatosha na wameridhika tofautoisha kati ya masikini na mtu anayekua na pesa ya kumtunza mwanamke.....hivi mfano nyumbani hali ngumu hata pesa ya unga hakuna hayo mapenzi yataenda kweli?..pesa lazima iwepoKama ingekuwa hivyo maskini wasingeoa
Hivyo vitu vipo hata nyumbani, mbona kuna watu wanaacha maisha mazuri ya nyumbani wanaenda kuishi maisha magumu unawezaje kusema mtu kama huyo amefuata pesa? Mtu anakuwa anampenda mtu. Ni kama vile kazini kuna mshahara na bonus, pesa ni bonushapana wameoa kwa sababu ya pesa iliyopo wao inawatosha na wameridhika tofautoisha kati ya masikini na mtu anayekua na pesa ya kumtunza mwanamke.....hivi mfano nyumbani hali ngumu hata pesa ya unga hakuna hayo mapenzi yataenda kweli?..pesa lazima iwepo