Hiyo point kidume .wanawake sisi ndo walimu wao ko kuwapa pesa ni muhimu pia kazi na dawaJamii ya Kiafrika ni jamii ambayo imetawaliwa na changamoto kibao ambazo utatuzi wake ni fedha.
Na mara nyingi jamii yenye shida kibao karibu kila kitu huwa kinageuzwa fursa mradi tu mtu aweze kupunguza shida zake.
Na ndio maana ni afrika pekee ambapo hata kuulizia njia tu mtu anataka umlipe, so kuna muda tusiwalaumu sana wanawake kwa tabia yao ya kudanga maana ni mazingira na umasikini uliotamalaki kwenye bara hili umewa shape kuwa hivyo walivyo.
Kikubwa waache utapeli tu.