Kupendwa kwa sababu ya fedha

Kupendwa kwa sababu ya fedha

Kuna demu.nilikutana nae dukani tulikuwa tunanunua jenereta la ofisi. Nikamtokea ila nikamdanganya mie fundi jenereta na akanikubali mpk nikala mzigo baadae akaja kugundua kuwa na cheo kikubwa akaanza mizinga kama kawaida mara simu imepotea. Mwanzo alikuwa anaomba hela ndogo tu nauli n.k
 
Jamii ya Kiafrika ni jamii ambayo imetawaliwa na changamoto kibao ambazo utatuzi wake ni fedha.

Na mara nyingi jamii yenye shida kibao karibu kila kitu huwa kinageuzwa fursa mradi tu mtu aweze kupunguza shida zake.

Na ndio maana ni afrika pekee ambapo hata kuulizia njia tu mtu anataka umlipe, so kuna muda tusiwalaumu sana wanawake kwa tabia yao ya kudanga maana ni mazingira na umasikini uliotamalaki kwenye bara hili umewa shape kuwa hivyo walivyo.

Kikubwa waache utapeli tu.
 
Watoto wa kibongo nimewavulia kofia kwa mizinga. Hasa huu wa simu mbovu ndio umesimama kidedea.
ha ha ha yaani kwa sasa hivi kila sehemu ukigusa ni pesa tu....naona watakuwa wamefanya ni kitega uchumi mkuu
 
Back
Top Bottom