Kupeleka watoto wachanga chekechea imekuwa kama fasheni

Tafuta mtu mzima ambaye hana majukumu kama hayo.
Ila ukiangalia kwa makini kila sehemu ina weakness zake,hizo daycare sometimes nazo zina mambo ya ajabu sana ambayo ni afadhali mtoto abaki nyumbani na beki 3,lakini pia mtoto akikaa nyumbani atajifunza bongo fleva mpaka basi....
Hakuna kizuri kisicho na faida.
Mimi wangu 2yrs na Yuko Day care Mengine hayo Ya Kumuachia Mungu ndie mjuzi zaidi
 
Nakubaliana nawe mkuu kwa % zaidi ya 100. Me nishapoteza pesa za kuwasafirisha hawa wadada wa kazi toka huko kwao na kuwarudisha mpaka kichwa inachemka. Mwanzomwanzo atajifanya mtulivu ngoja amalize kama mwezi tuu utashuhudia chengachenga, Utashangaa na yeye atataka kufanana na mama mwenye nyumba.
Dah na me nitajaribui kufanya hivyo labda itasaidia jamani maana eeeehh
Kabisa, fanya hivyo mkuu. Bora kubali kuingia hiyo gharama lakini watoto wanalelewa na ndugu. It makes all the difference in the world.
 
mi naonaga ni kuwasumbua watoto tu jamani... sema watasema wapo busy
Shule sio kosa. Makosa yetu ni haya. 1. Hatujui umri sahihi wa mtoto kuandikishwa Nursery. 2. Tunaandikisha watoto shule za mbali, 2-3 hrs mtoto yupo ndani ya school bus.

Mfano. Mtoto anakaa Kimara afu anasoma MIKOCHENI. Mwingine anakaa Kibaha anasoma Mbezi, mwingine anakaa Magomeni anasoma Mbezi Beach. Haya ni mateso kwa watoto.
 
hebu.nipe suluhisho nifayeje
nna mtoto.mdogo na tunaishi mi na yeye,nimeajiriwa mwanangu nimfanyeje?
Tafuta ndugu yako wa kike uishi naye, mimi ninao watoto wawili nimemleta mdogo wake na wife pamoja na beki tatu...mtoto huyu mdogo anakuwa na mama yake mdogo,mkubwa anaenda shule, beki tatu ana deal na usafi tu.

Au mchukue shangazi yako ukae nae.
 
Twende kitaalamu zaid bila kuegamia upande wowote,,anaesomesha mwanae mdogo wa miaka miwili na nusu ana sababu zake na anaesubiri miaka mitano nae anasababu zake.. Twende kitaalam mtoto anapaswa kuanza shule kipindi gani nadhan hapo ndio penye msingi wa mada hii ya *dmkali*

Sote au baadhi tunaelewa kua msingi wa baba na mama toka mimba ikiwa tumboni kuna connection ya mtoto atakaezaliwa kutokana na maisha ytu halisi ya mke na mume. Tukiwa tunavurugana kila Mara hasa kipind cha ujauzito hata kiumbe kitakachokuja kitakuja kwa tabia flan flan abazo nyie mnapitia.

Wengi wanakariri kua akishajua kuongea mtoto bas ni muda sahihi wa kumpeleka shule,,lah hasha ,,,ni uongo tulioukariri na kufuata mkumbo. Hakuna umri sahihi wa kumpeleka mtoto shule Ila utampeleka tu endapo ameshaanza kupata akili bila kujal umri wake,,,kinachowachanganya wengi wasioelewa hii ni wale wanaoangalia umri na kusahau mtto hapeleki umri shule Bali anaeleka akili yake ya kufaham mambo ili ikomazwe na iendelezwe.. Narudia tena tunapeleka akili ya mtoto shule hatupeleki umri. Na utajuaje mtoto anaakili tayari?? Hapa ndio amefeli wengi wetu...
Mtoto anapoanza kuuliza uliza maswali na kujua kupokea majibu,,,ndio mud sahihi kwake kwenda shule.. Hapa haijalishi umri wke inajalisha jinsi gan amepokea yte anayoyashuhudia mnapoishi pamoja maana elewen mtoto hajifunzi kwa kusikia Bali anajifunza kwa KUSHUHUDIA.. So umri sahihi hakuna Ila kuelewa kwake mapema ndio ticket yake ya kwenda shule..

Pia tukumbuke kuna elimu aina mbili,,elimu ya msigi(basic education)na elimu ya darasan. Elim ya msingi haifundishwi shule inapatikana nyumban kwa wazaz jinsi wanavyoishi na mtoto anashuhudia,kule shule tunajifunza mantiki tu na kuwajibika hakuna zaid,,na ndio maana Leo MTU hapa jamii forum watu wanlalamika wanavyeti vzr na ufaulu wa kutosha lakin wanalalamika maisha magum hii sio kosa lao kosa hawana elimu ya msingi ana elimu ya darasan ambayo inafundisha uwajibikaji tu BA's.

Mwisho wanaopeleka watoto wa miaka 2½ shule hawana kosa,wala wanaopeleka watoto miaka 5 nao hawana kosa wengine wanazaliwa na iq ndogo na wengine kubwa.
 
Shule sio kosa. Makosa yetu ni haya. 1. Hatujui umri sahihi wa mtoto kuandikishwa Nursery. 2. Tunaandikisha watoto shule za mbali, 2-3 hrs mtoto yupo ndani ya school bus.

Mfano. Mtoto anakaa Kimara afu anasoma MIKOCHENI. Mwingine anakaa Kibaha anasoma Mbezi, mwingine anakaa Magomeni anasoma Mbezi Beach. Haya ni mateso kwa watoto.
zaidi ya mateso sema watakuambia wanafuta elimu nzuri
 
Wanawake wa kibongo ni mizingo sana, wanawapeleka huku ili wapate mda wa kupiga umbea na majungu
 
Twende kitaalamu zaid bila kuegamia upande wowote,,anaesomesha mwanae mdogo wa miaka miwili na nusu ana sababu zake na anaesubiri miaka mitano nae anasababu zake.. Twende kitaalam mtoto anapaswa kuanza shule kipindi gani nadhan hapo ndio penye msingi wa mada hii ya *dmkali*

Sote au baadhi tunaelewa kua msingi wa baba na mama toka mimba ikiwa tumboni kuna connection ya mtoto atakaezaliwa kutokana na maisha ytu halisi ya mke na mume. Tukiwa tunavurugana kila Mara hasa kipind cha ujauzito hata kiumbe kitakachokuja kitakuja kwa tabia flan flan abazo nyie mnapitia.

Wengi wanakariri kua akishajua kuongea mtoto bas ni muda sahihi wa kumpeleka shule,,lah hasha ,,,ni uongo tulioukariri na kufuata mkumbo. Hakuna umri sahihi wa kumpeleka mtoto shule Ila utampeleka tu endapo ameshaanza kupata akili bila kujal umri wake,,,kinachowachanganya wengi wasioelewa hii ni wale wanaoangalia umri na kusahau mtto hapeleki umri shule Bali anaeleka akili yake ya kufaham mambo ili ikomazwe na iendelezwe.. Narudia tena tunapeleka akili ya mtoto shule hatupeleki umri. Na utajuaje mtoto anaakili tayari?? Hapa ndio amefeli wengi wetu...
Mtoto anapoanza kuuliza uliza maswali na kujua kupokea majibu,,,ndio mud sahihi kwake kwenda shule.. Hapa haijalishi umri wke inajalisha jinsi gan amepokea yte anayoyashuhudia mnapoishi pamoja maana elewen mtoto hajifunzi kwa kusikia Bali anajifunza kwa KUSHUHUDIA.. So umri sahihi hakuna Ila kuelewa kwake mapema ndio ticket yake ya kwenda shule..

Pia tukumbuke kuna elimu aina mbili,,elimu ya msigi(basic education)na elimu ya darasan. Elim ya msingi haifundishwi shule inapatikana nyumban kwa wazaz jinsi wanavyoishi na mtoto anashuhudia,kule shule tunajifunza mantiki tu na kuwajibika hakuna zaid,,na ndio maana Leo MTU hapa jamii forum watu wanlalamika wanavyeti vzr na ufaulu wa kutosha lakin wanalalamika maisha magum hii sio kosa lao kosa hawana elimu ya msingi ana elimu ya darasan ambayo inafundisha uwajibikaji tu BA's.

Mwisho wanaopeleka watoto wa miaka 2½ shule hawana kosa,wala wanaopeleka watoto miaka 5 nao hawana kosa wengine wanazaliwa na iq ndogo na wengine kubwa.

Ungemskiliza Dr. Wilberforce Meena, MKURUGENZI wa TIE jana asubuhi ITV akichambua kuhusu Mabadiliko ya Curriculum ya Nursery School, ile ya Darasa la I-IV na ya la V-VI, usingesema watoto wasiandikishwe shule kwa kuangalia Umri.
 
Na lazima tukubali kua ukimpeleka mtoto mdgo shule ambae hajawa na akili lazma atafeli tu na hawa ndio mabingwa wa KUKARIRI maana hawaelewi kaz moja kubwa kwao ni kukariri
 
Kwa wenye kupeleka watoto daycare centers, je unajua mtoto wako analelewaje hapo shule? Je wanasimamia vipi ulaji wa mtoto? Je unajua wana lala wapi? Kwani wengine wanalala kwa kuinamia meza za kusomea
 
Ungemskiliza Dr. Wilberforce Meena, MKURUGENZI wa TIE jana asubuhi ITV akichambua kuhusu Mabadiliko ya Curriculum ya Nursery School, ile ya Darasa la I-IV na ya la V-VI, usingesema watoto wasiandikishwe shule kwa kuangalia Umri.
Ukinisoma vzr utaelewa nilichokisema,,sipo hapa kubisha hoja yako ila twende kwa hoja Zitakazo saidia na wengine...
 
Hawakua tayari kuzaa na kulea.Walizaa kama fashion eti umri unaenda,acha wabebe mzigo wao.
 
Miaka mi2 -6 ,saa 1asubuhi-12 jioni,
chekechea
miaka 7 - 13 saa1- saa12 jioni English medium primary school

miaka14 - 17 secondary boarding
mwezi wa 1 mpaka wa6 ndio unamuona mwanao
mtoto hata sauti yake huijui vizuri
.
akienda high level, nako hali kadhalika!
akiaza chuo ukisikia mwanao ni Davito au James delicious unakuja Jf kwa marefu na mapana!

hukuwa na muda wa kumfunza mtoto tabia njema, kwa kisingizio tunakwenda na wakati.... tuko bize na kazi!
sasa dunia inapomfunza uendelee kufurahia tu!
 
"Waleeni watoto katika njia iwapasayo".

Wakati mwingine unaweza kuwa mtu mzima kabisa lakini usiwe mzazi bora. Mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja, au mmoja na nusu leo hii imekuwa fasheni wazazi kumwandikisha kuanza chekechekea au babycare center.

Kiukweli kumwanzisha mtoto mdogo shule mapema kiasi hiki ni kumharibu mtoto pasipo kujua anaichoka shule mapema na baadaye kuigharimu familia. Wazazi badilikeni.

Tumeona hayo pia hadi kwa wasanii, akina Aunt nani sijui na vichanga vyao chekechea sijui vinasoma nini. Kuna mdada mmoja nimemshuhudia kiila siku anaamka saa 11 na kukasumbua katoto kake alfajiri kwenda shule huku kanasinzia.

Mwisho serikali itatoa tamko kisa wazazi kama hawa.
Kwanza futa hapo juu mtoto mchanga hapelekwi shule.
 
Kelele nyingiii tuacheni na watoto wetu jamani, Mimi mwanangu ana miaka mi 2 na Shule nimemuanzisha, majukumu yanatubana ndio, huyu wa miaka mi 2 ana mdogo wake wa miezi 7 na bado nina majukumu ya kikazi , sasa mnataka tuwaachie Dada wa nyumbani watoto wote hawa? Ataweza? Bora aende Shule tu
Mpeleke tu mkuu,akija kupata tabia za kishoga na kisagaji usilalamike kabisaa.Maana wanajifunziaga huko huko.
 
Kwanza day care sio shule ni Tanzania tu ndo tunajifanya shule ma watu wengi wamaanzishaga day care alafu zinakua shule wanakua wanakimbia gharama za kuanzisha shule na kwa vile day care ni bure bas unajikuta mwanao anaishia kwenda shule nchi za wenzetu day care ni sehemu ambayo mwanao anaenda kulelewa during the day unapotoka kazini unamptia..kama mama mwenye majukumu ni bora mwanangu akakae day care nyie mnashangaa mwaka wakati ata miezi 6 unampeleka mtoto day care akalelewe unasema mtu aache kazi alee mtoto uyo mtoto si atapata utapia mlo tutakula nini kwa maisha haya..hamjapata adha ya kukaa na wadada wa kazi nyie na kuwatafuta..kingine sasa watoto wa day care wana akili kama nini maana mtoto anaajamiana na wenzie basi wee maendeleo fasta fasta mtoto ata kusoma na kuongea anawahi mnoo na anakua anachangamka mkisema tabia mbaya ujue hata we mzazi tabia yako mbaya shirikiana na wafanyakazi wa kwenye kituo na unapomchukua mwanao mfunndishe tabia njema....au kama vipi serikali na sekta binafsi zitengeneze nursery kila ofisi unaenda na mwanao unamuacha apo unaendelea na kazi unakua unamchungulia chungulia tu basi.ila day care wala haina shida ninachokataaga kila siku ni kumpeleka mtoto boarding wakati bado mdogo
Hiki ndicho nilichotaka kusema. Baby day care sio shule ambako watoto wanatakiwa kwenda kujifunza rasmi. Ila ni sehemu ambako watoto wadogo hupelekwa kwenda kushinda wakati wazazi wameenda wenye mihangaiko yao ya kila siku. Huko mtoto atapata nafasi ya kucheza na wenzie,atakula na kufurahia mambo mengine kwa uangalizi wa kitaalaamu. Huko kuna michoro ya rangi na vifaa mbali mbali ambvyo mtoto anatakiwa aanze kuvizoe toka akiwa mtoto mdogo.

Kwa tanzania hivi vitu vimekuja kuja tuu bila kufanyiwa tafiti na vituo vingine havina uboro wa kisasa. Waliowengi wanajua wanampeleka mtoto shule lakini kiuhalisia sio shule rasmi japo huko pia atapata nafasi ya kujifunza kusocialize na watoto wenzie.

Kingine mtoto anapata uzoefu wa kuanza kujitegemea kuanzia huko. Wenzetu huko mtoto hata wa mwaka tuu anaanza kulala chumbani kwake na akifikisha miak 18 anaanza kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafis. Kwa tanzania hii bado mtu anamiaka thalathini lakini bado anategemea ugali na maladhi kwa wazazi wake.

Swala la kumpeleka mtoto au kutokupeleka lipo chini ya uangalizi wa mzazi husika. Jipime, pima uwezo wako na hitaji lako kisha fanya chaguo sahihi kulingana na mazingira.
 
Back
Top Bottom