miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
Kaka Jambazi acheni tu mimi sisapoti mtoto kuwekewa hayo mataka taka sema utaonekana wa zamani .. ila wa kwangu sitamuwekea hayo madude kabisa...mbaya unakutwa anasukwa kanalia .. hapati nafasi ya kucheza basi kumsumbua tu any way wanaofanya wafanye tuJe mnavyowasukaga na yale marasta kilo 6 kichwani je?