Kupayuka! Mbinu mpya ya kubaki kileleni?

Kupayuka! Mbinu mpya ya kubaki kileleni?

BADO NASUBIRI USEME UKWELI WA ULICHOKUWA UNAKILENGA HAPA,NI KILELE HICHO KWELI?
Ina maana kuanzia la kwanza mpaka kumaliza ulisoma hesabu, chemia na fizikia? Hujasoma hata hadithi za Bulicheka na kujifunza kitu baada ya hadithi? Fasihi au hata Comprehension nayo hukufanya???? Kilele ndo hicho na wewe unasubiriwa kama una ubavu kama wa yule wa Arusha.
 
During s.ex, kubaki kileleni kwa mwanaume ni kati ya 6-10 secs only.. mwanamke 14-20 secs...

Sasa kubakia tu kileleni eg wakati wa malove huwezi.. ukifika unalose ufahamu kwa raha unexplainable, like unakufa kwa raha hv kwa muda huo, then unafufuka..

Kubaki kileleni ni ngumu kidogo, sema utashuka utapanda tena, na tena, utashuka, utapanda tena na tena..kuleni vyakula vyenye nguvu vya kutosha, mazoezi na kuwa na afya tele, less stress ili upate raha ya kilele cha mapenzi...!! Vilele vingine vipo tu..
 
Bro mshana umesikia kua saiv anataka kama ni ndugu ama mgeni yoyote anaekuja dar lazima awwe na sifa maalum ya kuja na akija asikae sana ..
 
During s.ex, kubaki kileleni kwa mwanaume ni kati ya 6-10 secs only.. mwanamke 14-20 secs...

Sasa kubakia tu kileleni eg wakati wa malove huwezi.. ukifika unalose ufahamu kwa raha unexplainable, like unakufa kwa raha hv kwa muda huo, then unafufuka..

Kubaki kileleni ni ngumu kidogo, sema utashuka utapanda tena, na tena, utashuka, utapanda tena na tena..kuleni vyakula vyenye nguvu vya kutosha, mazoezi na kuwa na afya tele, less stress ili upate raha ya kilele cha mapenzi...!! Vilele vingine vipo tu..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Bro mshana umesikia kua saiv anataka kama ni ndugu ama mgeni yoyote anaekuja dar lazima awwe na sifa maalum ya kuja na akija asikae sana ..
Kwahiyo sijui itabidi tuwe na local immigration offices...this guy is insane
 
Bro mshana umesikia kua saiv anataka kama ni ndugu ama mgeni yoyote anaekuja dar lazima awwe na sifa maalum ya kuja na akija asikae sana ..
mh ya kweli hayo mkuu au ni katika harakati za kunogesha uzi tu
 
Dr. Juma Mwaka pole, kilele ulichokuwepo sasa tunatafuta kigagula mpiga manyanga mwingine tumuweke. Weee umaarufu ulioupata unakutosha, umekuwa maarufu kuliko hata Magu?
Kumbe naye yupo kleleni?!
 
Ila tuache utani jamani ,kufika kileleni kutamu sana sorry kubaki kileleni. Ndio maana matamko kwa viongozi wetu yamekuwa mengi kisa kubaki kileleni. Asante Mshana kwa fasihi.
 
Ila tuache utani jamani ,kufika kileleni kutamu sana sorry kubaki kileleni. Ndio maana matamko kwa viongozi wetu yamekuwa mengi kisa kubaki kileleni. Asante Mshana kwa fasihi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mhh bora niwe sijuw maana kujua habar kama hiyo ni kama kupigisha shoti ubongo wa mbele
 
nimekuelewa sana ila nahisi hilo hata mkuu wa kaya yetu pia yupo hivyo maana ile kauli yake iliwatisha wengi MIMI SIJARIBIWI jamaa alitisha sana aiseee maana uongozi wake upo ivyo full kupayuka
 
Back
Top Bottom