Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

Hoja ni kuwepo au kutokuwepo kwa kwa pembetatu duara, si kuwepo kwa pembetatu wala duara.

Umeelewa hilo?

Nikisema mji mkuu wa Tanzania si Washington DC hilo halina maana hakuna Tanzania wala hakuna Washington DC.

Hilo lina maana hakuna Washington DC iliyo mji mkuu wa Tanzania.

Umeelewa hilo?
Kukosea kwako kuwako,mji katika nchi nyingine,sio itakayofanya mji usiwepo.Ni uelewa wako mdogo,lakini mji upo.
Na vile vile uwelewa wako mdogo,wa kutojuwa Mungu kama yupo,hautafanya Mungu asiwepo.
Tatizo ni uwelewa wako mdogo,ni saws na mwanafunzi kuwa wa mwisho darasani,sio kwamba wa kwanza darasani hayupo.
 
Hakuna kupatwa kwa jua wala mwezi ni uongo uliokithiri, mbona waliokuwa wanaagalia kupitia vile vifaa kulikuwa na vivuli? kama jua lingepatwa mwanga ungetoka wapi porini kama pale maana hakukuoneshwa hata genereta!!!
Mazee unakubali kwamba jua lipo?

Maana inawezekana hata jua unaweza kubisha kwamba lipo.
 
Matukio kama haya huwezi kuyapatia ufafanuzi kwenye maandiko ya dini. Zamani vitu kama hivi vikitokea watu waliokua anasali kwa hofu wanajua mungu amekasirika au leo ni siku ya kiama hata msikiti wa jirani kwetu jana walipiga swala wakati tukio lenaendelea. Ni kwasababu vitu hivi havijatolewa ufafanuzi na dini yoyote ile. Isingekua wanasayansi kutuambia hii kitu itatokea basi wengi watu tungeishia kuamini mungu alikasirika jana. Sasa swali la kujiuliza ni kama wanasayansi wanauwezo wa kutolea ufafanuzi almost kila kitu katika ulimwengu huu na wana tabiri kitu flani kitatokea siku gani, wapi na saa ngapi, wanauwezo hata wa kutabiri mwisho wa dunia utakua lini kitu ambacho mungu ameshindwa kukifanya. Je huyu mungu kweli yupo?
Wewe wamekutabiria utakufa lini na kitu gani kitasabisha ufe siku, saa, dakika ama sekunde hiyo?
 
Akili za binadamu zinatofautiana,uwelewa wako ukiwa mdogo wa kufahamu,usifikiri na wenzako pia wako kama wewe.
Ndio maana kukawa kuna wasomi wa kada tofauti.Hata madaktari wanapishana kielimu,waalimu wanapishana kielimu,wahandisi wanapishana kielimu,wapishi nk
Kutojuwa wewe kama Mungu yupo,ni kiwango chako kidogo cha uelewa,kama tunavyozidiana darasani,kupatikana wa kwanza,na wa mwisho.
 
Kukosea kwako kuwako,mji katika nchi nyingine,sio itakayofanya mji usiwepo.Ni uelewa wako mdogo,lakini mji upo.
Na vile vile uwelewa wako mdogo,wa kutojuwa Mungu kama yupo,hautafanya Mungu asiwepo.
Tatizo ni uwelewa wako mdogo,ni saws na mwanafunzi kuwa wa mwisho darasani,sio kwamba wa kwanza darasani hayupo.
Kumbuka, kinachopingwa si kuwapo kwa mji wa Washington DC, wala si nchi ya Tanzania.

Kwa hiyo ukiniambia nchi ya Tanzania au mji wa Washingon DC zipo, hujaelewa hoja ni nini.

Kinachopingwa ni mji wa Washington DC kuwa mji Mkuu wa Tanzania.

Mimi mtu akiniambia kwamba Mungu wake ni mti wa mnazi, kwa sababu unampa chakula, unampa nyumba na unampa fagio, akasema hivyo vitu vinatosha kufanya Mnazi kuwa Mungu wake, siwezi kumkatalia kwamba Mungu wake yupo in that context.

Sitakubali kwamba mnazi ni Mungu, lakini kwa definition yake na context hiyo siwezi kukataa kwamba mnazi unampa chakula, nyumba na fagio. Na kama kwake hayo mambo ndiyo yanam define Mungu, hiyo ni Imani yake. Anaweza kunionesha madai yake yote ni kweli.

Mtu akiniambia kwamba kuna Mungu ana upendo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba huu ulimwengu, huku hawezi kuthibitisha hayo, nitamtaka athibitishe.

Mungu wako ana contradiction kama pembetatu duara. Hayupo kama vile pembetatu duara isivyokuwepo.

Ukisema pembettu ipo na duara ipo, hilo halimaanishi pembetatu duara ipo.
 
Kumbuka, kinachopingwa si kuwapo kwa mji wa Washington DC, wala si nchi ya Tanzania.

Kwa hiyo ukiniambia nchi ya Tanzania au mji wa Washingon DC zipo, hujaelewa hoja ni nini.

Kinachopingwa ni mji wa Washington DC kuwa mji Mkuu wa Tanzania.

Mimi mtu akiniambia kwamba Mungu wake ni mti wa mnazi, kwa sababu unampa chakula, unampa nyumba na unampa fagio, akasema hivyo vitu vinatosha kufanya Mnazi kuwa Mungu wake, siwezi kumkatalia kwamba Mungu wake yupo in that context.

Sitakubali kwamba mnazi ni Mungu, lakini kwa definition yake na context hiyo siwezi kukataa kwamba mnazi unampa chakula, nyumba na fagio. Na kama kwake hayo mambo ndiyo yanam define Mungu, hiyo ni Imani yake. Anaweza kunionesha madai yake yote ni kweli.

Mtu akiniambia kwamba kuna Mungu ana upendo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba huu ulimwengu, huku hawezi kuthibitisha hayo, nitamtaka athibitishe.

Mungu wako ana contradiction kama pembetatu duara. Hayupo kama vile pembetatu duara isivyokuwepo.

Ukisema pembettu ipo na duara ipo, hilo halimaanishi pembetatu duara ipo.
Kutokuelewa kwako kama Mungu yupo,sio sababu kutokuwako.Wapo wasiojuwa kama kuna ngazi zinazojiendesha wenyewe.Kwa hiyo kutojuwa kwao kama kuna ngazi,zonazojiendesha wenyewe,haitafanya ngazi hizo kutokuwako.
Ni ewelewa wako mdogo,kushindwa kujuwa Mungu yupo,na haifanyi asiwepo kwasababu wewe hujui kama yupo.
 
Kutokuelewa kwako kama Mungu yupo,sio sababu kutokuwako.Wapo wasiojuwa kama ngazi zinazojiendesha wenyewe.Kwa hiyo kutojuwa kwao kama kuna ngazi,zonazojiendesha wenyewe,haitafanya ngazi hizo kutokuwako.
Ni ewelewa wako mdogo,kushindwa kujuwa Mungu yupo,na haifanyi asiwepo kwasababu wewe hujui kama yupo.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Ulichoandika ni kama kusema-

"Kutoelewa kwamba pembetatu duara ipo, sio sababu ya pembetatu duara kutokuwepo"

Hujathibitisha kwamba pembetatu duara ipo. Thibitisha.

Huwezi kwenda sehemu unataka kununua jumba halafu ukasema "Kutoelewa kwako kwamba sina hela haina mana sina hela, nina mabilioni Uswizi".

Usiseme. Thibitisha.
 
Kuwako kwa Mungu hakuhitaji kuthibitushiwa,ikiwa uwelewa wako ni mkubwa.Ukiwa na uwelewa mdogo kama wako,hutaweza kuelewa.

Kwa nini hakuhitaji kuthibitishwa?

Nani kakupa wewe mamlaka ya kusema kipi kinahitaji na kipi hakihitaji kuthibitishwa?

Hakuhitaji kuthibitishwa au unasema hivyo kwa sababu huwezi kuthibitisha tu?
 
Nitamuuliza, mbona ulijificha sana kujidhihirisha kwangu? Hutakiwi kunihukumu kwa kutokukujua, kwa sababu nimekutafuta sana, angalia servers za JF jinsi nilivyouliza watu kuhusu uwepo wako wakashindwa kunithibitishia.

Na hata wewe mwenyewe ulipotezea, hukunipa ushahidi wowote kwamba upo.

Huwezi kunihukumu, kwa sababu nimekutafuta sana ila hujajidhihirisha kwangu.

Mungu hayupo, kama angekuwepo isingekuwa vigumu sana kudhihirisha kwamba yupo.

Anajifichaficha nini? Kwani yeye mwali anayesubiri kuchezwa?
Kutojuwa sheria,sio utetezi Mahakamani wa kuvunja sheria.
 
Kutojuwa sheria,sio utetezi Mahakamani wa kuvunja sheria.
Kwanza thibitisha sheria ni sheria

Huwezi kumwambia mtu kwamba kutojua sheria sio utetezi wakati sheria haieleweki, kuna vitabu elfu tano vya sheria, vyote vinasema tofauti, halafu kila kimoja kinajipinga chenyewe.

Thibitisha kwamba Mungu yupo.

Otherwise the entire question is moot.
 
Uwepo wa Mungu ni uthibitisho wako mwenyewe,ni sawa na kuumwa na njaa,ni jambo la mwenye kuumwa na njaa.Mwenye kuumwa njaa,akaahindwa kujijuwa kama ana njaa,itakuwa uwelewa wake mdogo sana.
 
Back
Top Bottom