Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,181
- 1,212
Na Mungu katokea wapi? Hakuna ajuaye viumbe wametokea wapi. Kitu kama hatujui tukubali tu hatujui. Sio ku force kwamba eti lazima tumeumbwa. Bila uthibitisho wowote.
Kutojua kitu ni justification kuwa hakipo?
Sent from my iPhone using JamiiForums