Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,312
- 105,648
Ngoja ukose uwezo wa kupumua ndiyo utamtafuta alipo Mwenyezi Mungu
Kukosa uwezo wa kupumua ni dalili ya kutokuwepo Mungu. Si dalili ya kuwepo Mungu.
Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hamna kifo.
Kwa nini Mungu mwenyewe uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao kifo kinawezekana?