King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Bora anaekutukana afu anaenda zake, manake kama mwanamke unajitambua hakusumbui, huhitaji kuambiwa juu ya ulivyo especially na mtu ambae hahusiki vyovyote na wewe!
Kuna wale ving'ang'anizi! Yaani umeshamuambia hapana, haiwezekani! Kila siku anakuja na swali 'nifanyeje ama niweje ili unipende???'. Halafu ana majibu yake ya kuchagua sababu za kutopendwa:
Au familia yangu maskini
Au vile sina hela unanidharau
Au elimu yangu
Au navaa kishamba?
Wanachosha sana! Bora akuponde, afu umcheke kimoyomoyo na mkikutana akae mbali na wewe.
Kuna wale ving'ang'anizi! Yaani umeshamuambia hapana, haiwezekani! Kila siku anakuja na swali 'nifanyeje ama niweje ili unipende???'. Halafu ana majibu yake ya kuchagua sababu za kutopendwa:
Au familia yangu maskini
Au vile sina hela unanidharau
Au elimu yangu
Au navaa kishamba?
Wanachosha sana! Bora akuponde, afu umcheke kimoyomoyo na mkikutana akae mbali na wewe.