Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 15,725
- 33,900
Unasema kuombewa na kujiombea .Sasa ulikuwa unakosoa nn?Unaongea kwa akili zako tu kutoka kichwani au unaongea kwa mujibu wa sheria? Usichanfanye mazoea na sheria kanuni za utumishi wa umma ktk circulating letters zimeweka bayana mtumishi kujiombea kibali au kuombewa kibali na kila moja ina taratibu zake so mimi naongea sheria inavyosema wewe unaleta kanjanja siwez kukuelewa let's speak speak kitu ambacho ni law enforced sio eti mimi nilifanya hivi nikafanya vile