Jamaa wana matiketi kibao walijua msimu huu watapiga sasa jiwe kafanya yake ndo maana waona povu linawatoka 😀 😀Teh teh teh...Pale maslai binafsi yanapoguswa
😆😆😆😆Sawa, wao wapande ndege hawa wasiokuwa na uhakika na maisha ya wapande treniView attachment 1285901
kuunga mkono juhudiWalikuwa wanaenda wapi!?
Naanza kupata mashaka na wewe, kwa hii mada aliyoleta hukupaswa kuuliza hili swaliMtoa mada una akili timamu kweli?
Dah...kiongozi. . mwanadamu timamu hufanya jambo lolote akiwa na sababu. ....Sawa, wao wapande ndege hawa wasiokuwa na uhakika na maisha ya wapande treniView attachment 1285901
Sio hizi za Old school...
Mzungu gani atasafiri km 600 kwa masaa 19?
Hujui thamani ya muda.Kuna aina nyingi za usafiri hivyo kila mtu atapanda aina ya usafiri anaoona upo katika uwezo wake au kwa jinsi moyo wake utakavyompendeza akiamua kupanda basi sawa, akiamua kupanda gari lake binafsi sawa, akiamua kupanda treni sawa akiamua kupanda fuso sawa, akiamua kupanda mabasi sawa,
Linapokuja swala la safari inategemea muda unaotaka kuusave ww ni upi. Mtu umepanga Safari ni tarehe flani tena kwenda kuwasalimia ndugu na jamaa kikubwa ni kufika salama, swala la muda kama ni mambo ya kibiashara, interview n. K hapo sawa. sasa mtu anakuja anakwambia muda ni Mali wakat mtu anaenda kusalimia ndugu jamaa na marafik. Alafu ikumbukwe wachaga hawapo dsm tu wako sehem mbalimbali.
Vitu vingine ni wivu usiokuwa na aibu
Kumbe ndio wanapanda hivyo bora mabasi harafu uzuri unasafiri mchana
Wee vjchwa vibovu vile. engine za kufufua hazivuti kama matarajio yaliotegemewa. Ndio mana hata Magufiri (mzee wa zinduazindua) alipiga chenga kuzindua. Kama zitakamata huo muda utaniambia,,,.......
Kwa safari ya kwanza kutumia masaa 19 nahisi kwasababu ya mambo mengi + ufunguzi + mbwembwe njiani n.k ila baada ya safari hizi mbili za mwanzo onwards nahisi ni kuteleza tuu by less 15 hours
India wanatumia hizi locomotives na maisha yanaenda
Wamepewa ndege,wamepewa mabasi wameongezewa na treni uamuzi ni wao wapande kipi!!Wachagga wanahujumiwa bila kujijua. Huu mfumo ni wa zamani sana kwa kweli.
Kuna vitu watu mnabisha bisha tu....jamaa aliepanda basi la Nairobi akafika arusha saa 8 he is right.....Kuna kipind nilipanda bus kuelekea Nairobi tulipita Arusha mida hiyo hiyo ya saa 8 had saa 8 na nusuLeo hii nimepakia dogo ameenda moshi, wamefika saa tisa , bus imeondoka saa KUMI NA NUSU usiku/alfajiri...(mabus yanayopak nje ya stand)...hakuna bus ya kuondoka saa 6:00 ikafika huko muda huo, labda iwe ya Magu
Arusha ufike saa nane that means moshi umepita saa saba ... Thubutu...hii ilikua inawezekana kabla ya tochi tu
Hakuna kitu kama hicho, wala hakitotokea siku za karibuniKuna vitu watu mnabisha bisha tu....jamaa aliepanda basi la Nairobi akafika arusha saa 8 he is right.....Kuna kipind nilipanda bus kuelekea Nairobi tulipita Arusha mida hiyo hiyo ya saa 8 had saa 8 na nusu