Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha

Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha

Reli inayobeba treni ya Tanga - Moshi - Arusha iliwekwa na Wajerumani mwaka 1912.

Nina uhakika kabisa na hilo.

Mkuu

“Reli” ndio ilijengwa muda huo

“Treni” kama treni ilikua ishakula chumvi kabla haijaletwa luja kuendeshwa huku

Imejengwa late 1800’s mkuu

Go check your facts right!
 
Mkuu

“Reli” ndio ilijengwa muda huo

“Treni” kama treni ilikua ishakula chumvi kabla haijaletwa luja kuendeshwa huku

Imejengwa late 1800’s mkuu

Go check your facts right!
Mimi ninachosema ni kuwa baada ya muda hizi treni zitasababisha ajali nyingi sana
 
Usafiri wa treni ni mzuri kwa hiyo timing waliofanya. Muda wa kuondoka ni jioni hivyo mtu unapiga dili zako fresh kwa siku husika.. jioni unashika usafiri... asubuhi unaibukia mkoa au jijini. Mimi naona ni usafiri mzuri.

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] hongera sn brooo kwa kuwaza nje ya box....watu wanaangalia kipindi hiki tuu cha msimu wa sikukuu...
Lakini wanashindwa kuona fursa nzuri sn ya muda iliyojitokeza kwa wafanya biashara....unajiondokea zako Moshi jioni asbh upo Dar....una fanya zako manunuzi asbh then jioni unapanda zako Treni unarudi....hulazimiki kulala ili uanzeee mizunguko yakoo asbh
 
Treni hizi zimeanza kuwa na raha yake!!! Shikamoo awamu ya tano.
Acha kuwa na mawazo ya mgando
Usafiri wa treni una raha yake
Ila bado wapo wale wakatao tumia private car

Ova
 
Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?

Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?

View attachment 1284152
Kwani wote walikuwa nazo Jambo zuri tupongeze Jambo baya tulikatae na tulikemee
 
Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?

Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?

View attachment 1284152
Dah...Naona zile tiketi za mabasi ulizoshikilia zitakula kwako.... Awamu hii kila wapigaji wataomba poo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kipi cha Zamani hapo?
Usafiri wa treni au treni zenyewe?
Unachanganya mambo.
USAFIRI WA TRENI NI USAFIRI WA UHAKIKA NA SALAMA KWA ASILIMIA 90.
mzungu mpaka Leo anatumia treni.

Ndio ya kizamani sana ndio maana inajengwa ya kisasa.
 
Nani anasafiri masaa 14?

Kwenda Moshi ni masaa 4-7 full stop!

Na ni luxury coaches na sio vyuma chakavu hivyo!

Leo mmepata abiri kurudi wote wanarudi na mabasi

Nani apakie usenge huo?

Plus leo mmepata 14hrs,next trip ni 24 hrs and then trip ya tatu ni 48hrs

Trip kumi ni gereji moja kwa moja halirudi tena mpaka miaka 24 again!

Fvck yall motherfuckers!
Teh teh teh...Pale maslai binafsi yanapoguswa
 
Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?

Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?

View attachment 1284152
Hawa n wale wale waliokuwa wanapanda Basi hao wa Vogue we wasubir njiapanda cku mbil kabla ya xmass
 
Kipi cha Zamani hapo?
Usafiri wa treni au treni zenyewe?
Unachanganya mambo.
USAFIRI WA TRENI NI USAFIRI WA UHAKIKA NA SALAMA KWA ASILIMIA 90.
mzungu mpaka Leo anatumia treni.
Sio hizi za Old school...
Mzungu gani atasafiri km 600 kwa masaa 19?
 
Back
Top Bottom