Longlive ... Balimi Extra...Ze Kick... Bingwa...Guiness Lager!!Hapo jani katika pita pita yangu mtaani nimekuwa nikiskia tetesi kuhusu kupandishwa ghafla bei za vinywaji vya kampuni ya coca cola, tetesi hizi zimenishtusha zaidi baada ya kuona matangazo na posterz nyingi asubuhi hii huku mitaani zikiashiria kupanda huku kwa bei, ambapo kwa sasa soda aina ya coca cola, fanta, sprite, na stone tangawizi zitauzwa kwa bei ya sh 500/=,
swali ni kwamba, bunge la bajeti ndio hupanga bei mpya za bidhaa, sasa iweje bei zinapandishwa kinyemela na wakati bunge la bajet lilisha pitisha bei za bidhaa.
Hapo jani katika pita pita yangu mtaani nimekuwa nikiskia tetesi kuhusu kupandishwa ghafla bei za vinywaji vya kampuni ya coca cola, tetesi hizi zimenishtusha zaidi baada ya kuona matangazo na posterz nyingi asubuhi hii huku mitaani zikiashiria kupanda huku kwa bei, ambapo kwa sasa soda aina ya coca cola, fanta, sprite, na stone tangawizi zitauzwa kwa bei ya sh 500/=,
swali ni kwamba, bunge la bajeti ndio hupanga bei mpya za bidhaa, sasa iweje bei zinapandishwa kinyemela na wakati bunge la bajet lilisha pitisha bei za bidhaa.
Huku kwetu ndio kinywaji kikuu............soda anasa!Tuhamie kwenye togwa