AsanteMkuu asikudanganye mtu, hakuna zoezi maalumu la kupunguza kitambi Na pia Ukiwa na kitambi HAIWEZEKANI kukipunguza peke yake bila kupungua mwili mzima.
Unaweza soma zaidi hapa
Spot Reduction: Can You Target Belly Fat?
Love Handles. Turkey Neck. Bat Wing. Muffin Top. Is it possible to target belly fat or any area in general? Let's break down the myth.inbodyusa.com
Mbona hakuna CC Smart mmeachana kwani.
Nasubiri jibu niingie zangu piemu hahaha
Naona kama kaweka kofuli...tusubiri subiri akitoa kofuli ndio tutajua sasa jimbo lipo free completelyIf your waiting for Perfect Entry uta feli, hiyo ni Signal 100% ingia sokoni mzee
Duh kumbee😂😂Mkanda haupunguzi tumbo, unachofanya ni kulibana vizuri ili lisionekane.
Wewe piga msosi mwili utakuja, pili punguza stress. Ukiwa na stress huwezi ongezeka.Hakuna mazoezi kwa sisi wanawake wembamba angalau kutiatia nyama!😊
Sasa unapunguzaje kitambi bila kufanya mazoezi ya kubalance mwili mzima?!Wanawake wengi hawataki kupunguza mwili unakuta anataka atowe tumbo tu.na wengi wa hivi hawawezagi mazoezi je mkanda unaweza punguza tumbo ili siku nikipata kitambi nijifungie zangu mkanda
Unene wa asili huuSasa unapunguzaje kitambi bila kufanya mazoezi ya kubalance mwili mzima?!
Ila sipendi mwanamke anaejiachia kama kitimoto huwa nachukia.... Halafu ukute unamuelekeza taratibu kuwa hiyo hali aliyonayo sio sahihi yeye anakuletea upuuzi wa kutetea unene wake kuwa ndivyo alivyo...... Msyuuuuuu
Tafuta Koni Na Tafuta mazoezi yake. Unaweza kufanya mazoezi yake hata sebuleni.Mchawi muda mzebaba we piga hesabu hapa nna wiki yapili sasa sjapumzika hata siku moja leo ndo nimemaliza kazi kibaha now narudi home kesho mapema eidha boti ya saa moja au saa tatu navuka maji zanzibar kuna kazi ya wiki mbili sasa kwa mfumo huu wa maisha siunaona kama kipengele?
ChiefUnless kama mtu anatumia supplements lakini akifanya kila kilichoandikwa pale kila siku bila kukosa kwa sets zinazotakiwa hatajaza mwili ila ataukata na misuli itadumaa kwakua haipati muda wa kupumzika. Kama uko bulked it's fine ila mwembamba hapana.
Nilishaandika uzi kwa ajili ya hiyo deal.Chief
Suppliments hazina madhara kiafya?
Nimekuwa mrefu sana na nimepungua mnoNilishaandika uzi kwa ajili ya hiyo deal.
Jibu ni "Ndiyo" na "Hapana"
Kutegemea na unayotumia, namna unavyotumia, na routine yako nzima inaweza kuangukia kwenye ndiyo au hapana.
Nimegoogle ili niupate uzi kirahisi badala yake nimekuta hivi
View attachment 1711077
Moderator rudisheni baadhi ya nyuzi mlizonifutia nashindwa kumpa mtu reference.
View attachment 1708753
Muongozo mzima wa kujaza mwili kwa muda mfupi kwa wale ambao wembamba sanaa mpaka wanaona kero wanahitaji kunenepa mwili kidogo (si kunenepa kwa kujaza mafuta na nyama uzembe) bali kuwa na mwili ulio maintain mtu akikuona anaona una mabadiliko.
Vitu vitatu vya kuzingatia
1)Mazoezi
2)Mlo
3)Kupunzika
1)Mazoezi
_hapa tutajikita kwenye mazoezi ya Free Weight (Chuma), haya mazoezi yapo aina tatu kulingana na lengo(Goal) ya mtu husika:-
*Kujaza mwili
*Kutanua mwili
*Kukata mwili
*kuhimili (Body Strength)
Sisi tunalenga kujaza mwili tu ili mtu atoke kwenye wembamba wa kukonda mpaka mwili unaoeleweka, hapa kuna mazoezi mengi ila ya msingi ni mawili
*mazoezi ya mkono (Biceps & Triceps)
*Mazoezi ya kifua (Chest Workout)
View attachment 1708754
Zoezi no 1...(zoezi la kifua)
_Hapa unafanya kwa Kuala kwenye Banch na kunyanyua uzito wako kwa juu ya kifua una push kwenda juu na kuja chini, Hesabu nzuri juu Push ×10 kwenda juu kwa Round 1 alafu uweke kwenye Holder yake...Fanya Round 8-10 maximum itakuwa ushamaliza zoezi la kifua.
View attachment 1708738
Zoezi no 2....(Mkono wa mbele/Biceps)
_chukua chuma (Barbell) cha mikono miwili kibebe unakunja mkono kuelekea kifuani na kuurudisha chini...Fanya ×8 mpaka ×10 kwa Round 1 then kiweke chini, Fanya hivyo kwa Round 10.
View attachment 1708739
Zoezi no 3...(Mkono wa nyuma/Triceps)
_hapa inatakiwa ulale juu ya Banch kichwa kikiwa mwishoni mwa banch kibebe chuma kwa juu ya kifua tumbo la kiwanja limeelekea kichwa chako...kunja mikono ikielekea chini na kuupuleka juu...Fanya hivyo ×10 kwa Round 1, fanya kwa Round 10 au mpaka utapochoka.
View attachment 1708740
2)Mlo (Diet)
_vyakula inabidi viwe na Protini na Mafuta kidogo kwasababu lengo ni kuongeza mwili.
_Pia Maji inabidi uzingatie kunya maji kwawingi hii ni sawa na kusema ujazo wa nyama/misuli yako asilimia kubwa ni maji.
3)Kupunzika
_inabidi mwili upate muda mwingi wakujifanyia recreation, muda ambao mwili unapunzika kimazoezi ndio muda misuli inaGain.
Hivi vitu vyote vitatu mazoezi, Mlo na kupunzika naviweka kwenye Ratiba moja ya siku kimpangilio ili ujue muda gani wakufanya hiki na hiki mudagani.
Ratiba Ya Siku
Mazoezi... 01
*Asubui fanya mazoezi ya kifua na mkono kabla ya kula chochote.
Mlo.. 01
Baada ya mazoezi jipe muda wa nusu saa (30min)...Kunywa uji wa ulezi, baada ya lisaa limoja (1h) kunya chai iwe na Supu napendelea Chapati 2 na Supu.
Mlo..02
Katikati ya mlo wa Asubui na mchana kula bites kama karanga mbichi za kupima, matunda na maji kunywa kwa sana bila Excuse.
Mlo..03
Mlo wa mchana kuwe hata na mboga zenye nutrients tofauti kama Protini na mafuta kidogo...baada ya mlo kula matunda mazito kama Ndizi, Parachichi, Embe(ikiwa salary nzuri zaidi).
Mazoezi...02
*Jioni, fanya mzoezi Kama uliyofanya asubui...kitu cha tofauti fanya ukiwa na chupa ya maji unapiga ukipunzika unapiga pafu kadhaa.
Mlo... 04
*Usiku unaweza kula chochote ukizingitia nutrients za mizimu kwa uchache.
Ratiba ya Siku inaenda kama hivyo.
Mpangilio Wa Mazoezi kwa Week
_Katika week lazima uwe na siku 1 au 2 ambazo unapunzika kufanya mazoezi, katika siku 5/6 za mazoezi mpangilio unakuwa kama hivi chini.
_Siku tatu fanya mazoezi ya kifua na mkono wa mbele na Siku tatu nyengine fanya mazoezi ya kifua na mkono wa nyuma.
Vitu vya kumakinika navyo
1)Lazima uanze mazoezi ya kifua ndio umalizie mkono
2)Usije ukala dakika chache kabla kuingia Gym
3)Uzito usiwe mzito Sana, utakomaa so kujaa.
NB: Mipangilio yote nimeweka ipo General utaangalia na ratiba zako, uchumi wako na factors zingine kufuata mpangilio mzima.
Mkuu ni kaishu karefu ila kwa ufupi ni hivi;Nimekuwa mrefu sana na nimepungua mno
Nimekuwa kwenye uhitaji wa kuongeza kidogo kamwili nimejaribu kufuatilia protein suppliments hususani whey lakini Bado kuna hisia nyuma inanisukuma nisitumie
Whey protein unapatikana wapi mkuuMkuu ni kaishu karefu ila kwa ufupi ni hivi;
Tumia supplements kwa vipindi, mfano unatumia miezi 3 kisha unaacha kwa miezi 2 au 3 kabla ya kuanza tena.
Pia kunywa sana maji kipindi unatumia supplements, angalau lita 5 kwa siku.
Pia jua kwamba supplements siyo replacement ya chakula so ration ya chakula ibaki palepale.
Pia hutakiwi kuacha kufany mazoezi, in fact kwa sasa ndiyo inabidi udouble struggle hustle..
Whey protein siyo supplement ya hatari kama baadhi mfano steroids. So waweza tumia whey protein bila kufanya hii rotation. Whey protein ni supplement ya kawaida isiyo na madhara.
So tumia whey haina ishu unayoifikiria. Ukianza kuzijua zile nyingine hapo sasa itabidi ufanye rotation.