Pre-workout, or pre-workout supplement, is a bodybuilding supplement. It contains ingredients that are intended to give a sudden boost of energy. These supplements are over the counter and are used by mainly athletes to help aid in performance and recovery. Pre-workout supplements contain ingredients such as, beta alanine, creatine, amino acids, and L- Citrulline, that aid in muscle recovery after a strenuous workout. This boost is mainly supplied by caffeine. Pre-workout can be beneficial for performing strenuous exercises. Many supplement brands advertise products containing ingredients that are not proven safe or have a scientifically proven benefit. Some of the supplements being advertised can have little to no benefits and can cause unwanted side effects.
Salaam Wakuu,
Natumai nyote mpo salama. Nimeleta uzi huu kama sehemu ya kujihamasisha mimi na kuwahamasisha wengine kufanya mazoezi Soma: Umuhimu wa kufanya mazoezi
Natambau wengi wetu tunatamani kuwa wafanya mazoezi, lakini kwa sababu mbalimbali tumekuwa tunakosa muda kwenda uwanjani au...
Mambo vipi wakuu? Natumaini mko poa.
Wakuu mimi ni mdau wa mazoezi ya kujenga mwili japo Sina hela ya kwenda Gym huwa najipigia push up zangu mwenyewe tu, hata hivyo sipo interested Saana na mazoezi ya kunyanyua vitu vizito.
Ninachohitaji sasahivi ni mazoezi ya miguu (lower body workout) hasa...
Muongozo mzima wa kujaza mwili kwa muda mfupi kwa wale ambao wembamba sanaa mpaka wanaona kero wanahitaji kunenepa mwili kidogo (si kunenepa kwa kujaza mafuta na nyama uzembe) bali kuwa na mwili ulio maintain mtu akikuona anaona una mabadiliko.
Vitu vitatu vya kuzingatia
1)Mazoezi
2)Mlo...
Mimi sina ya kuongeza sana hapa ili hii inaonekana inafaa sana. Nakuwekea video hii usikilize mwalimu huyu wa mazoezi akiongea kuhusu mazoezi anayoyafundisha.
Huu mtiti unaonekana sio mdogo.
Wanapatikana Maga Beach & Mwalimu anaitwa Shija.
Angalia kuanza dakika ya 14 hadi ya 24
Tangu nilipogundua umuhimu wa mazoezi kwenye mwendo wa kawaida wa maisha, nimejaribu hili na lile, kuona linalonifaa zaidi. Katika jaribujaribu mara kwa mara nimeongeza vikolezo mbalimbali kwenye mazoezi yangu na kuyaboresha kidogo. Nimeongeza vikolezo hivyo kwa malengo ambayo binafsi nayaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.