Kuomba na kunyimwa?

Kuomba na kunyimwa?

Umewahi kuomba jambo fulani ukanyimwa, ilhali unajua kabisa yule mtu alikuwa nalo ila akaamua tu kutokukupa?
(wengine husema akakaza ,akadinda)

Kuomba aibu no uno
Kunyimwa aibu no two
kutangazwa aibu no 3

Kuomba halafu ukanyimwa ni aibu 🤣🤣
Ni kama umejidhalilisha halafu bado husaidiki
Yaani umejianika, umeweka wazi hitaji lako, lakini mwisho wa siku hupewi ng'oo 🤪

Wewe umewahi kuomba nini ukanyimwa? Na ulijisikiaje?

Mara nyingi muombaji akinyimwa hujuta na kutamani asingethubutu kuomba kabisa lakini ni too late 😁

Lakini pia kuna msemo unasema, Ukinyimwa, unajifunza kutafuta vya kwako ( Wahenga🤔)

Lakini sasa najiuliza...
Hivi kweli kila kitu kinaweza kupatikana bila kuomba? 🤪

Au kuna mambo ambayo bila kuomba huwezi kuyapata kamwe? 🤔

Weekend hiyoooo

NB : Kulombana sio anasa

ShesRise_1 🖐
Kuomba ni sehemu ya ubinadamu na kunyimwa hali kadhalika
 
Mimi kuna mtu nilimuomba kikojoleo akaninyima na kabsaa najua anacho. Siku moja kuna dili nilpiga la hela ndefu akajua nimepata hilo dili akaja kuniazima hela akalipe nyumba akakuta ninahesabu mkwanja akaniambia shida yake nikachukua hela zangu nkaweweka mifukoni na mimi nkamwambia sina kama alivyonambia ha kibwenye ndani ya pichu yake.

Safi, Wachoyo ndo dawa yao.
 
Mimi kuna mtu nilimuomba kikojoleo akaninyima na kabsaa najua anacho. Siku moja kuna dili nilpiga la hela ndefu akajua nimepata hilo dili akaja kuniazima hela akalipe nyumba akakuta ninahesabu mkwanja akaniambia shida yake nikachukua hela zangu nkaweweka mifukoni na mimi nkamwambia sina kama alivyonambia ha kibwenye ndani ya pichu yake.
Na kukuibia alishindwa nini?
 
Mimi kuna mtu nilimuomba kikojoleo akaninyima na kabsaa najua anacho. Siku moja kuna dili nilpiga la hela ndefu akajua nimepata hilo dili akaja kuniazima hela akalipe nyumba akakuta ninahesabu mkwanja akaniambia shida yake nikachukua hela zangu nkaweweka mifukoni na mimi nkamwambia sina kama alivyonambia ha kibwenye ndani ya pichu yake.
Kijana fedhulii😢
 
Kwakweli ila umeandika kinyonge kama ulinyimwa leo asubuhi😢
Hapana leo nimekula asubuhi na mchana nikitoka kusali ntakula.Ila kuomba na kunyimwa ni ubinadamu,huwezi kukwepa kuomba na kunyimwa.Mimi nilimuomba waziri mmoja mwanamke akaninyima,sikukata tamaa,nilimuomba tena mpaka siku moja akanipa,na nilimla hatari na alifurahia mno the way nilivyo approach sex na yeye maana ilikuwa inclusive,entertaining and intensive.Mpaka leo namla japo ni mke wa mtu but tunafanya kwa siri kubwa mno
 
Hapana leo nimekula asubuhi na mchana nikitoka kusali ntakula.Ila kuomba na kunyimwa ni ubinadamu,huwezi kukwepa kuomba na kunyimwa.Mimi nilimuomba waziri mmoja mwanamke akaninyima,sikukata tamaa,nilimuomba tena mpaka diku moja akanipa,na nilimla hatari na alifurahia mno the way nilivyo approach sex na yeye maana ilikuwa inclusive,entertaining and intensive.Mpaka leo namla japo ni mke wa mtu but tunafanya kwa siri kubwa mno
Huogopi kuchapa K za wenyewe tena waheshimiwa?
Hala hala tusikuokote ununio😢

Ila inaonekana ilikua tamu sana jinsi ilivyoandika
 
Back
Top Bottom