ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,943
- 40,049
- Thread starter
- #161
Fire 🔥Haina formula hiyo
Fire 🔥Haina formula hiyo
Ukorofi labda humu jf, huku mtaani naambiwa nimezubaa kuongea tu sijui.Jina lako lina sound kama mpole ila we mkorofiiii
Kuombana vitu vidogo vidogo kama hivyo haikwepeki , naomba tuishie hapaZa viatu
Kama sitaki sasaKuombana vitu vidogo vidogo kama hivyo haikwepeki , naomba tuishie hapa
😅😅 nakuelewa aiseeUkorofi labda humu jf, huku mtaani naambiwa nimezubaa kuongea tu sijui.
Usiombe nikuhadithie kitu utachoka kunisikiliza nahisi nina kigugumizi🤣
Sasa ni rahisi kumiliki SimuJanja ya itel A50 kwa kianzio cha Tsh40,000 na kulipia Tsh825 kwa siku. Karibu duka la Airtel na kitambulisho chako tuu na Kianzio.Acha kabisa mkuu, ndiomana stroke inatupata sisi tu.
Iz auti of mayi bizneziKama sitaki sasa
We jamaa 😅Sasa ni rahisi kumiliki SimuJanja ya itel A50 kwa kianzio cha Tsh40,000 na kulipia Tsh825 kwa siku. Karibu duka la Airtel na kitambulisho chako tuu na Kianzio.
Usiwe hivyo bhana utanifanya nilieIz auti of mayi biznezi
Una machozi ya kuchezea weweUsiwe hivyo bhana utanifanya nilie
Ninayo ila sio kwaajili ya kila mtuUna machozi ya kuchezea wewe
Kunywa konyagi utaliaNinayo ila sio kwaajili ya kila mtu
Mtu anaekupenda hakunyimi ukiona umeomba ukanyimwa jua unaemuomba hakupendi temana nae tembea na wanaoukupenda wengine wanakupa bila hata ya kuwaomba wakikuona umepungukiwa hao ndio watu wa kua nao maisha mwako sio wenye viroho vya koroshoWewe umewahi kuomba nini ukanyimwa? Na ulijisikiaje?
Wewe sihitaji hata kunywa konyagi, machozi kwaajili yako ninayoKunywa kinyagi utalia
Muone huyu 😅kwani uzi ni wa kukulana ama nn?
simba bingwaWewe sihitaji hata kunywa konyagi, machozi kwaajili yako ninayo