Kuomba hela mwanaume/mpenzi

Kuomba hela mwanaume/mpenzi

Good girl jitahidi hivyo hivyo coz hiyo ni sifa ya ziada ambayo wanawake wengi wameikosa
 
Na hawaombi hela tu!

Wanaomba hadi cologne, kofia, raba mtoni, mabegi ya mgongoni, Beats by Dre, n.k.

Hata kama hawakujui watakuomba tu...watajibebisha hadi wapate kaupenyo ka kukuomba!

Shameful and disgraceful.


Uswazi utasikia 'baby sijala'
unajiuliza nimekutongoza jana...juzi ulikula na hela ya nani?

Mara 'nataka hela ya saloon'
ha haaaaa
 
Yani mm sijui niko vipi ,sijuagi Kabisa kumuomba hela mwanaume, akinipa mwenyewe sawa,Ninaweza nikasema ngoja Leo nimuombe hela mwanaume lakini nikianza kuandika SMS tu nafuta na achan na hiyo ishu.japo siwezi omba face to face.sijui na kwa wenzangu ni hivyo?


Wazazi wako wamekulea vyema
sasa fuata ushauri wa 'wadada wa mjini'
uone 'utakapoishia'

kila utakachoomba atakaekupa atahakikisha 'unakilipia'
kwa namna moja au nyingine...
 
Mimi nawahurumia tu wanawake ambao, karne hii wamejiwekea mikeka mchana kutwa wakisubiri salio kupitia mpesa. Nawahurumia sana coz hata kama wanapewa 100% na waume/wapenzi wao, hawajui kesho yao ipoje.

Karne hii, japo jukumu la kuhudumia familia linabaki kwa mume, lakini ewe mwanamke, sio karne ya kukaa nyumbani kusubiri hela ya sanitary pads. Amka, nenda katafute na wewe. Huyo mume hana guarantee ya kuishi milele.
 
Mimi nawahurumia tu wanawake ambao, karne hii wamejiwekea mikeka mchana kutwa wakisubiri salio kupitia mpesa. Nawahurumia sana coz hata kama wanapewa 100% na waume/wapenzi wao, hawajui kesho yao ipoje.

Karne hii, japo jukumu la kuhudumia familia linabaki kwa mume, lakini ewe mwanamke, sio karne ya kukaa nyumbani kusubiri hela ya sanitary pads. Amka, nenda katafute na wewe. Huyo mume hana guarantee ya kuishi milele.
Sawa kaka Eli
 
Uswazi utasikia 'baby sijala'
unajiuliza nimekutongoza jana...juzi ulikula na hela ya nani?

Mara 'nataka hela ya saloon'
ha haaaaa

Hapa nalinganisha ubaya wa tabia mbaya!

Kuna kamdada flani hivi kanafunzi ka pale Magogoni [binafsi sidhani kama hata kanasoma hapo] kaliniomba eti nikapangishie nyumba ya laki 7 kwa mwezi.

Bossman, nilikosa hata maneno ya kukajibu aisee.

Nikawaza sijui nikazabe vibao?

Nikaona haitakuwa vyema maana kibao changu kimoja tu naweza hata nikakasababishia kupoteza maisha.

Nikaishia kukaonea huruma.

Kusema ukweli kwangu mimi tabia kama hiyo huwa ndo tundu la nuru ya uwezo wa upeo wa mtu.

Hivi kweli kabisa mtu na akili zako timamu unaweza ukamwomba mtu akupangishie nyumba ya laki 7 baada ya kumfahamu [siyo kumjua] kwa siku mbili tatu tu?
 
daaah yan nikipata wa aina yako ntashukuru sana, napenda kuhudumia lkn hawa wenye series ya ku.state shida za uongo wanaboa sana. keep it up
 
Wengine wasanii..Mnajifanya hampendi kuomba ili kumuingiza mwanaume box..Mapenzi yakinoga mnaanza vibomu deile..Mtu unabaki kujiuliza huyu ndo yule ama
 
Yani mm sijui niko vipi ,sijuagi Kabisa kumuomba hela mwanaume, akinipa mwenyewe sawa,Ninaweza nikasema ngoja Leo nimuombe hela mwanaume lakini nikianza kuandika SMS tu nafuta na achan na hiyo ishu.japo siwezi omba face to face.sijui na kwa wenzangu ni hivyo?
Wenzako wanaomba na kuwapekekea mama zao.
 
Back
Top Bottom