Kuomba hela mwanaume/mpenzi

Kuomba hela mwanaume/mpenzi

Wenzio hawaombi, wanadai kabisa. Utaona msg, 'baby sasa ile hela vipi nachelewa saluni mwenzio' kama vile aliiweka.
Hahahahahahahahaha gademuuuu

Yaani utadhani alikupa umshikie dash watu wana njaa Kali balaaa .

Unatongoza dakika ya kwanza ya tatu ashakulipua na mzinga Wa nuclear khaaaa .
 
Direct kivip?
Indirectly sio DIRECTLY

Kumpitisha MME mitaa ya Samora then unajisemesha semesha "baby ile perfume nzuri",mme anatoa laki 2 ananunua perfume!

Hapo ni kuwa umeomba INDIRECTLY,nyie hamjambo kwa kuomba
 
Aisee hata mimi kumuomba boyfriend hela ni mtihani,bado sijapata kazi lakini hiyo hainipi sababu ya kuwa ombaomba.Kama sina vocha nitasubiri mpka unipigie,Nadhani ifike sehemu sie wanawake tuwe na aibu tusipende kutangaza shida sana.
Sidhani kama hao wenzako watakuelewa wewe utapaa mume mwema
 
Yani mm sijui niko vipi ,sijuagi Kabisa kumuomba hela mwanaume, akinipa mwenyewe sawa,Ninaweza nikasema ngoja Leo nimuombe hela mwanaume lakini nikianza kuandika SMS tu nafuta na achan na hiyo ishu.japo siwezi omba face to face.sijui na kwa wenzangu ni hivyo?
Ningekupata wewe mbona ningefurahi mimi. Endelea na hiyo tabia nzuri kipenzi.
 
Indirectly sio DIRECTLY

Kumpitisha MME mitaa ya Samora then unajisemesha semesha "baby ile perfume nzuri",mme anatoa laki 2 ananunua perfume!

Hapo ni kuwa umeomba INDIRECTLY,nyie hamjambo kwa kuomba
mbinu mbadala
 
Back
Top Bottom