Kuomba hela mwanaume/mpenzi

Kuomba hela mwanaume/mpenzi

Mi ukiniomba Pesa uwe na sababu maalum!! Sio unaniomba Pesa kisa umesikia fulan akiomba Pesa anapewa! Wengine Pesa zetu tunazipata kwa ugumu!!
 
Madhara yapi. Funguka basi nijifunze labda niwe nafanya hivyo hata kwa kulazimisha

We usipoonga hawajiongezi wanaume wa dar,sana sana atakupiga we mizinga ooh,omba vyote alivyosema nyani ngabu hapo ataona anawajibika sana kwako akikumbuka Mali zake hakupigia chini mana roho inakuuma.chukua hyo
 
Wengine wasanii..Mnajifanya hampendi kuomba ili kumuingiza mwanaume box..Mapenzi yakinoga mnaanza vibomu deile..Mtu unabaki kujiuliza huyu ndo yule ama
Hahaha unashangaa ghafla imekuwaje, kumbe mtu kawa "original"
 
Tumejipanga..Mwaka huu mtaisoma..(naimba tu jamn)
 
Jaman sipendi kuomba omba Mimi.kwa nini Mtuu asijue majukumu yake.I beta work hard.
 
Yani mm sijui niko vipi ,sijuagi Kabisa kumuomba hela mwanaume, akinipa mwenyewe sawa, Ninaweza nikasema ngoja Leo nimuombe hela mwanaume lakini nikianza kuandika SMS tu nafuta na achan na hiyo ishu.japo siwezi omba face to face. Sijui na kwa wenzangu ni hivyo?

Dear..... Kwani kuna kanuni mahali kuwa ni lazima mwanamke amuombe mwanamume pesa?
 
Tatizo wanaume wa siku hizi hamjiongezi. Kuna shost yangu mmoja huyo ye mwanaume wake anachojua ni kwenda kwa shost akute msosi umeiva apakuliwe ale ajipepe na feni na ikiwezekana analala hapo hapo lakini hata shingi kumi kuitoa anagalau amsadie bibie anaempikia kila siku hajigusiii. Siku nyingine shost anafulia hadi hela ya vocha anakosa ila akimwambia mwanaume anaishia kumwambia pole. Jana tu shost hajaenda kazini bwana kampigia simu kulikoni sikuoni kazini akawambia nimefulia hata nauli ya kwenda kazini sinaaaa. Na mshahara bado haujaingia. Mwanaume kashia kumwambia pole. Mtu kama huyo jamani unamfanyaje, shost nae kuomba hajui kama mleta mada. Na wanaume wa siku hizi asilimia kubwa wako kama huyo. Nyie kama hampendi kuombwa jiongezeni jamani vitu vingine mbona vinaoneka wazi sio lazima hadi uombwe. Mnatia hasira sanaaaa.
 
Yani had nimuombe bae bas niwe na shida ilyokaa koon afu nkiomba tena nasema nkopeshe thn nazma cm... Au mayb tuwe wote ndo naeza jarbu lakini npge cm et babe naomba efu 50 ya nguo... Duh kwan babangu uyo
 
Back
Top Bottom