GOSSO MZEKEZEKE
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 142
- 165
Habari JF.
Naomba kuuliza hivi ukipeleka barua kwa mwajiri wako mfano mkurugenzi wa halmashauri akagoma kuipitisha barua yako, maana nimepeleka lakini ameirudisha bila kusaini wala kuandika chochote.
Naweza kuomba bila kupitisha kwake na vilevile nataka kuweka kama mimi ni mwajiriwa kwenye CV yangu kwa sababu naamini itaniongezea nafasi nzuri ya ushindani? hivi naweza kuitwa? kuna yoyote aliwahi kufanya hivyo na akafanikiwa? nazungumzia ajira za TRA.
Naombe maoni maana mwajiri wangu kazingua.
Naomba kuuliza hivi ukipeleka barua kwa mwajiri wako mfano mkurugenzi wa halmashauri akagoma kuipitisha barua yako, maana nimepeleka lakini ameirudisha bila kusaini wala kuandika chochote.
Naweza kuomba bila kupitisha kwake na vilevile nataka kuweka kama mimi ni mwajiriwa kwenye CV yangu kwa sababu naamini itaniongezea nafasi nzuri ya ushindani? hivi naweza kuitwa? kuna yoyote aliwahi kufanya hivyo na akafanikiwa? nazungumzia ajira za TRA.
Naombe maoni maana mwajiri wangu kazingua.