mashini
Member
- May 4, 2012
- 72
- 10
Kuolewa kuna maana gani?
Mwanaume anaposema 'siwez kupika (mfano) kwani mi ndo nimeolewa?'
Does it mean kuolewa haina tofauti na kua mtumwa wa mwanaume?
Does it mean wanaume wanaoongea hayo hawajui maana ya kuoa?
What does kuolewa mean?[Nameless Girl (NG) hebu soma maandiko matakatifu yanasungumza nini juu ya ndoa, ukisha soma utangundua nini maana ya ndoa. Lakini pia ulisha jiuliza ki-unagaubaga juu ya mahari ilitolewayo kwa wanawake watakao kuolewa?]