The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,135
- 116,007
l used the word kuolewa ambalo linatumika kwetu tu (kiafrika)
Sihitaj kugeza mambo ya kizungu, ila nataka kujua heshima ya mwanamke kwa maana ya 'kuolewa'.
Kama hakuna tofauti na utumwa then its humiliation, can't you see that Sir?
Mimi huwa nasema 'mapenzi ' ni utumwa wa hiari
as long as unampenda mtu,tayari uko kwenye utumwa wa aina fulani
uwe mume au mke,
sasa wewe unaweza tu kuwa uko sensitive au umeolewa na usiempenda
mwanamke akianza kuhoji hoji kwa nini mwanaume anamwambia fanya hivi na fanya vile
mostly inakuwa hampendi yule mwanaume,aliolewa ili aolewe
wenzio walio in love na wanaume wao...wanarudi home wamechoka na still wanapika
na mume sometimes hata hiko chakula hajatoa pesa...na ukiwaambia waombe talaka wanakuchukia ...