Kuolewa kwa kulazimisha

Kuolewa kwa kulazimisha

Nimecheka kama mazuri. 75% yalishawahi kunihusu ndo maana sitakaa nimzodoe mtu anayekaa kwenye mahusiano tasa miaka 2, 3, 5, 10 20.... Akae tu maana akija kufanikiwa kutoka atakuwa amekua sana na akitoa ushauri lazima ueleweke maana ni "first hand information". Ukiona mtu yuko kwenye uhusiano mgumu ukamhubiria mpaka akatoka ujue mchango wako ni mdogo sana - alikuwa ameshafikia kiwango kikubwa cha uelewa na kilichomtoa ni utashi wake. Ukiona mmemwambia lakini hasikii basi ujue dozi ya mateso haijatosha kumfanya afunguke na kuvuka kiwango cha ujinga alio nao ndo maana ana excuse kwa kila kituko anachofanyiwa.

Mlioko kwenye mahusiano sugu si kwamba hamjaambiwa. Mmeshaambiwa sana tena wengine kwa upofu wenu mnawasaliti watu wanaojaribu kuwafungua macho. Unaskia "baby eti rafiki yako fulani ameniambia wewe ni malaya sana, huna fyucha na mimi...unanichuna tu..."!! Ukija kufunguka macho na kuona kila kitu kama kilivyo ndo unaanza kuwakumbuka mitume na manabii wote uliowafukuza na kuwasaliti. Ndo maisha. Unafanya mtihani, unafeli, unasapu, unafeli au unafaulu..ukikata tamaa unadisko halafu unaanza kusema "wanawake/wanaume wabaya!!!" kumbe we ndo tatizo. Kwenye maisha huwezi kuchagua maswali ila unaweza kuchagua kufaulu au kufeli. Nshaanza lekcha sikumbuki hata pointi ilikuwa nini.

Hahahaa,kumbe na we ni muhanga...ndio maisha
Wanawake walio kwenye mahusiano sugu mara nyingi ni wavumilivu sana,so I bet your hubby is lucky
Sisi wengine uvumilivu zero,uhusiano sugu usio na kichwa na mateso ni mengi hatuwezi kwakweli ni kipaji..
 
Nilikuwa na college mate somwhr, you have a lot in common. Alipenda sana coloured au whites. Sijui yule binti yupoje sasa hivi.

Dreams are valid,am sure huyo dada saizi yupo na mzungu wake
I hate whites,sorry if I sound as a racist.
 
Mtakuwaje wengi wakati kwanza mnazaliwa wachache(hii walaumiwe wanaume), pili humo humo kuna mashoga, tatu sasa ndio kuna wale wenzangu na mie ambao daaah ngoja hata nisiseme, nne sasa nfio janga zaidi, mwisho wa siku bora tu tujiwowe.

Hahahaa tatu wana vibamia dakika tatu nyingi,bila shaka ulitaka useme hivyo
Cc: sophial
 
Last edited by a moderator:
Tatizo wakina dada mnajuwa kupenda. Inakubidi uishi kuwa king'ang'anizi ukiwa na matumaini kuwa ipo siku.

Mimi najua kupenda na akili zangu zimo kaka..ukileta ujinga sijifikirii mara mbili
Ni baadhi tu ya wadada wanatuangusha kung'ang'ana kama kupe na wakati ishara zote zinaonyesha hii relationship sio...
 
Seme tu hujapata mr right wako, hayo mengine mbwembwe tu

Kwaio akiwepo Mr right kuolewa ndio dili??
Najipenda sana mimi kwanza,myb am too selfish kwaio furaha kwangu ndio dili,furaha isiomtegemea mtu...
Tukubaliane tu kila mtu anakipaumbele chake usigeneralize kama wanawake wote ndoa kwao ni dili.
 
Mi kuchema cha ukweli kuolewa si dili kwa maana ninayoijua ya dili, lakini najua ni jambo zuri hasa ukimpata wa kufanana nae, na maisha ya useja ukiyakubali nayo ni mazuri pia. Mi niko single either kwa kuwa sijapata wa kufanana nae au kwa sababu ya kukosa ujasiri wa kubadilisha maisha kutoka useja kwenda kwenye ndoa. Niligundua ukishazoea useja ni kama kuzoea ndoa. Unawaza ukiolewa hiki kitakuwaje, hiki kitaendaje, hiki nitakiachaje unapata wazo bora kubaki hivyo hivyo. Nikimuwaza "wa kufanana nae" nayo kizungumkuti. Sijui kama yuko hivyo nimsubiri mpaka aje, nikamtafute? sijui anatafutwaje maana formula zote nazozisoma ni ngumu mno maana ni kama natakiwa kubadili mtindo wa maisha, au labda alishakufa kabla hatujaonana, au alishaoa mke wa mtu mwingine au nimeandikiwa kuwa mseja? ..... Nimeona nimsubiri Yesu tu maana kumsubiri wa ubani naweza kuwa nasubiri treni feri! lol
NANDERA, hata kama hujapata wa kufanana nae, si yupo anaye "take care"? Kama yupo then maisha yanaenda. Kuwa 100% alone inaleta loneliness hadi unajishangaa.
Lakini pia kuna stage flani ya maisha ukifika unaona ni vyema kuwa peke yako, umejijenga, watoto wapo, una miradi yako na umri nao, say 35+..wengi wanaona bora waendeshe maisha yao tu.
 
Last edited by a moderator:
Sawa BRENDA 18 Ila kumbuka pia wapo Mabinti ukitaka kuwaoa Wanakupiga tarehe weee hata ukitaka kwenda kwao bado wanakupiga sound kumbe tatizo ni kwamba ANAWAPANGA THEN ANAWALINGANISHA WANAUME WENGI ILA WANAUME HAWAJUANI,sikuhizi mabinti wengi wanafanya hivyo...wanalinganisha haswa yupi mwenye hela zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wengi sikuhizi mapooozi mengi.
 
Hivi kuolewa ni dili sana??

Kuolewa ni ibada kwani Mungu aliiumba kwa kuumba watu wajinsia mbili tofauti ikiwa na malengo.ya kuendeleza dunia katika utaratibu wa kistarabu.Ili kututofautisha na wanyama na mimea.Soo wadogo zangu.msijidanganye na maneno ya kujifariji.ya watu waliokata tamaa kwenye maisha
 
  • Thanks
Reactions: Art
Kwaio akiwepo Mr right kuolewa ndio dili??
Najipenda sana mimi kwanza,myb am too selfish kwaio furaha kwangu ndio dili,furaha isiomtegemea mtu...
Tukubaliane tu kila mtu anakipaumbele chake usigeneralize kama wanawake wote ndoa kwao ni dili.
Kuolewa ukiweka kwa mtazamo wa kujifariji sio dili lakini kwa asilimia kubwa ya maisha ya wanadamu ndio sehemu kubwa ya maisha yao baada ya kula na kushiba.Kuwa dili au sio ni mtazamo wa kujifariji kwenye saikologia ya mwanadamu.Mungu aliumba iki kitu kwa makusudi yake na ni ibada kamili ndio maaana kwenye hiyo article yako umesems mwombe Mungu akupe wako na wakufanana na wewe
 
Back
Top Bottom